Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari zenu wana JF kwa muda mrefu sana nilikuwa nataka kuanzisha biashara ya kuuza viatu, sasa wakati umeshafika. Mimi nipo Arusha ila nasikia Moshi kuna viatu vizuri kweli, sijawahi kwenda huko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya biashara ambayo naweza kufanya karibu na shule ya sekondari. Ninalo eneo pembeni ya shule.
1 Reactions
9 Replies
4K Views
https://chat.whatsapp.com/E3QA3ZGnthUJGkpWSZuKHV 1.Sandals za Kike kwa kiume zipoo 2.Simple za kike zinapatikana 3. Mafuta ya Nywele yapoo piaa...:Mzuri sanaa yani. Nywele zinajaa na kuwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali imetakiwa kuwalinda wawekezaji hususani wazawa wenye viwanda vidogo ili wasaidie kukuza uchumi wa Taifa kupitia viwanda kama yalivyo maono ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
511 Views
Hapa nazungumzia Kenya, Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi na Msumbiji. Mbongo unaweza fanya jambo gani huko la kukuingizia kipato? Kazi na bidhaa gani zinahitajika huko? Changamoto zake ni nini?
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu! Mimi ni kijana jinsia (me) Wasifu: Fresh graduate nina shahada ya Teknolojia Habari na Mawasiliano (ICT) kwa sasa nipo Dar naendesha biashara yangu, experience yangu kwenye...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu za leo. Katika kupambana na maisha nikaamua kuanzisha duka la rejareja almaarufu la mangi mitaa ya hapa Mwanza. Nikaenda TRA kusajili TIN bana jamaa wakakadiria kodi nilipe 250,000 kwa...
5 Reactions
114 Replies
19K Views
Habari zenu. Nina ndugu yangu yuko Moro anajishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya ulanga na feldspar. Kwa anayefahamu soko anaweza akawasiliana nami na kila yatakapofanyika mauzo atapata...
0 Reactions
17 Replies
14K Views
Habari zenu wanajamvi, nimevutiwa na bidhaa za kikuu katika mtandao wa FB. Lakini kinachonipa mashaka hawako tayari wajulikane wako wapi? Msaada kwa mtu ambaye ameshanunua bidhaa katika App hii...
1 Reactions
477 Replies
103K Views
ZINGATIA:Haya ni mawazo yangu binafsi hivyo yaweza kupuuzwa au kutiliwa maanani bila shuruti yoyote. Kwanza ningependa kuwapongeza kwa kuipigania kazi ya sanaa hususani sanaa ya maigizo.Ninyi na...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Wasalaamu wadau,, nimekuwa kila nikianzisha biashara sitoboi kabisa,..kwa mfano nilikuwa namiliki saloon yangu ya kiume lakini cha ajabu sipati wateja,..yaani unaweza kukaa kutwa nzima ukaambulia...
7 Reactions
49 Replies
7K Views
Kwa kuzingatia kichwa cha habari hapo juu karibuni wadau wenye uzoefu na mambo hayo mtujuze. Mimi naona bidhaa hizo zote zinalingana ujazo na rangi pia ila sielewi kwanini kuna tofauti kubwa ya bei!
1 Reactions
60 Replies
14K Views
Je hii bei walioandika hapa ipo sawa? sijaelewa wakuu nifafanulieni nielewe hii mbona cheap mno, au kuna mengine wakuu
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna mambo yanaendelea kimya kimya sana na kuathiri jamii. Baada ya mafuta kupanda ngano kupanda sasa ni nyanya zinafuata Je, wajua sababu ni nini? Sababu ya kupanda kwa bidhaa za vyakula kutoka...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za wakati huu; Leo naona nilete mjadala kuhusu moja ya changamoto ambayo wajasiriamali hukutana nayo katika biashara zao nayo inahusu upangaji wa bei au kwa kimombo "pricing"Katika uchumi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama tittle inavyoeleza Tanzania kumekuwa na madalali wengi mjini wengi wao wapo kimaslahi yao binafsi tena yenye lengo la kumpiga mteja narudia tena kumpiga mteja. 1. Madalali wengi wana...
13 Reactions
21 Replies
5K Views
Bei zao vipi Zipi zinafaa kununua kwa mtu mwenye kipato cha kati? Pay plan zao zikoje? Nataka kujua maoni ya wana JF
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Za asubuhi wanaJF, Katika pitapita zangu leo nikabahatika kuskia maongezi ya kikao cha management ya moja ya biashara kubwa hapa mjini ya mhindi. Kikao hicho walikuwepo mamanager kadhaa watu...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimetumiwa pesa kupitia western union shida ni kwamba kitambulisho changu kipo mbali namimi ila nishakipigaga sana picha ninacho kwenye simu... Nilikua nauliza je nawezakutoa pesa kupitia hicho...
0 Reactions
9 Replies
954 Views
Mwaka Jana mwishoni nilibahatika kupata ka-IST free of charge; sijahongwa wala nini. Kwa vile sina pa kwenda nalo, nikaona bora liwe Uber. Katika research yangu eti hesabu ya Uber ni elfu 20 kwa...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom