Nimefanya Forex tangu November 2017 na broker niliyekuwa nikimtumia ni JP markets. Lakini kwa sasa JP markets wamekuwa na changamoto mbalimbali zikiwepo changamoto za kutokuwa na mobile depositing...
Kama tunavyojua Tanzania kuna changamoto kubwa sana ya kupatika maji safi na salama hivi serikali inaruhusu mtu binafsi uweke maradi wako wa maji safi na salama uchukuwe pesa kama wanavyotoza...
Habari za mchana wakuu, kama kichwa kinavyoeleza, naomba kujua kwa wenye uzoefu nataka nianzishe kiwanda hapa home.
Naomba kujua
1.Capital ni kiasi gani
2.Soko lake lipoje
3.Mateial.
Natafta mdada anayeweza kutengeneza fresh juice , umri Kati ya miaka 18-30
Awe msafi (extremely) awe mvumilivu na ,mwelewa , Elimu form 4 ad above .....
Ajue location bora ya kuweka biashara...
MSAADA : Habari wana jamvi la biashara; Nina rafiki yangu yupo japani anauza magari kwenye kampuni moja hivi, sasa ameniambia nitafute wateja atanilipa kwa commision, uwezo wa kutafuta wateja...
Kumekua na ushindani mkubwa sana wa kibiashara katika miaka hii ya karibuni, nikija kwa upande wa simu nazungumzia maduka kama aya APPLE SHOP/STORE etc ! Na maeneo Common ni kama Kariakoo...
Habari za muda ndugu zangu wana JF, natumai mu wazima wa afya.
Awali ya yote ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwa mkuu ONTARIO na wachangiaji wengine wengi kama mashujaa wetu katika suala...
Natafuta mtu mwenye kiwanda kidogo cha kusaga unga chenye cheti kati ya hivi
BRC au Fssc 22000
Nitampa kazi ya kusaga unga kila mwezi tani 100, sharti uwe na hicho cheti. Nataka kusapoti kiwanda...
Iko hivi:-
Kila kukicha pesa yetu inashuka thamani 10,000 ya leo kesho itakuwa ni pesa ya kununua kikombe cha chai.
Sasa maada yangu ipo hivi!:
Ikiwa nimeweka 100,000 benki leo hii baada ya...
Wadau nataka nitumie fursa ya kupungua kwa riba benk ya CRDB. Lakini pia nina mkopo utakao isha mwakani. Kuna mtu kanishauri naweza tumia nafasi kupata ka pesa kidogo. Wazoefu nipeni utaratibu
Hisa ni nini?
Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa inawakilisha asilimia fulani ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji (mwanahisa) anamiliki hisa...
Nauliza kwa nini mafundi wa kushona nguo wanakuwa hawatajiriki na
Kubaki hivyo hivyo miaka na miaka?
Yaani unakuta fundi miaka na miaka
Yuko hivyo hivyo.
Habari wapendwa nimepata matatizo nina shida ya mkopo wa dharula kwa waliopo Morogoro au popote pale nipo tayari kwa riba yoyote tareh 28 narudisha au kabla ya hapo, au kama kuna mtu anafahamu...
Habari wadau... nimepata 100 Bahrain dinar kwenye mtumba nimeangalia exchange rate ni Tshs 69000.
Nimeenda bank kadhaa naambiwa wanadeal na dollars pound na EUR so mwenye kujua wapi naweza kuichange.
Hello!,
Hivi ni prepaid card ya bank gani nzuri kwa transactions za kutuma na kupokea online.
Nina verified PayPal account ya Kenya na nahitaji kuwa napokea hela kupitia hiyo prepaid card...
1. Who is Tony Elumelu?
Tony Elumelu (full names are Anthony Onyemaechi Elumelu) is a Nigerian by birth. He is an economist by profession, holding three bachelor’s degrees and a Master’s degree...
Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)
Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.