Nimepitia matokeo ya Darasa la Saba shule za serikali zinazofundisha Kwa mtaala wa Kiingereza zimekuwa zikifanya vizuri, Sasa kama watoto lugha ya Kiingereza wanaielewa kwa urahisi kwanini...
Dear researchers,
Kama unahitaji msaada kwenye kufanya research Yako level ya masters au PhD or whatever level, please kindly uliza hapa na utapatiwa majibu na ushauri wa Hali ya juu.
Kikubwa...
Je kuna mtu au pengine wewe umesoma degree ya electrical engineering ukakosa ajira au ukasota mtaan?.Nauliza hivyo kwa maana kuna dogo anataka aende kusoma electrical engineering mwakani mwaka huu...
MJADALA WA ELIMU NA UDINI TANZANIA
Adui wa Waislamu ni utamaduni wa kiarabu wa Ghuba
 Ukristo, ama Uislamu na serikali si tatizo katu!
Na Mobhare Matinyi, Washington DC
Naomba...
Nilisikia kupitia radio one leo asubuhi kuwa, takribani asilimia 70 ya watahiniwa wa kidato cha nne wamepata alama sifuri katika somo la Hesabu?
Kama ni kweli, nafikiri hakuna haja ya kutafuta...
Ni ipi course nzuri na yenye ajira kati ya BED in psychology na BCS.in chemistry and physics na zote zinahusiana na nini na field zake zipo wap msaada jaman kwa mwenye uelewa na haya mambo
Habarini wanajamiiforums,Mimi ni kijana ninayesoma kozi ya bachelor ya engineering in telecommunications engineering katika chuo cha DIT
Nilimaliza kidato cha sita 2015, nikapata nafasi ya kusoma...
Form 6 mnaoenda kuchagua course kuweni makini. Sikupangii cha kusomea Ila angalia mda wako na tija.Toka 2015 walimu hawa hawajawahi pata ajira. Kuna reserve mtaani malori na malori. Najua wengone...
JE HOFU YA MITIHANI NA MADAI YA UGUMU WA SOMO LA HISABATI NDIYO SABABU YA KUFELI KWA NUSU YA WATAHINIWA MWAKA HUU? Somo la Hisabati limeendelea kuwa pasua kichwa nchini, ambapo katika matokeo ya...
Habari ndugu?
Poleni na msiba. Mungu awatie nguvu.
Ninaomba msaada kwa mtu anayefahamu juu ya chuo cha Diplomasia kilichopo hapa Dar, Kurasini.
Ninaomba kufahamu pale wanafundisha faculty zipi...
Wadau na watalaam wa masuala ya elimu, NECTA wanaweza kuunganisha cheti cha kwanza na cha pili ni cha kureseat mtihani na kupata cheti kimoja?
Kama inawezekana nianzie wapi ili niweze kusaidiwa...
Mwaka jana niliapply chuo cha RUCU Iringa na nikapewa mkopo ila kutokana na sababu mbalimbali sikuweza kuripot chuo hicho.
Mwaka huu nmeapply chuo kingine je kuna uwezekano wa kuhamisha mkopo...
Ndugu zangu naomba mnisaidie majina ya vyuo ulaya au US vyenye ada nafuu kwa kozi za muda mfupi. Viwe kwenye European Union kwa ulaya kama Scandinavia etc.
Nataka nipambane nikasome majuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.