Asalam Aleykum wanajukwaa!
Mimi ni mhitimu wa shahada ya elimu katika masomo ya Sayansi (Bachelor of education in Science).
Nimetafakari kuhusu kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya masters degree...
Habari,
Hivi naomba kuuliza, wakisema "verification is arleady, weight for another stage", ni stage gani inafuata?, na majina ya waliopata mkopo yanatoka lini?
Maana naona watu wanaendelea...
Ni janga la wanafunzi kuacha shule, sijui kama Serikali inalijua hili
Wakati nchi nyingi duniani zinahakikisha wananchi na watoto wote wanapata elimu bila kumuacha hata mmoja ili kukabiliana na...
Tujadiliane.
Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi...
Wakuu, habar za majukumu, nawakaribisha wana jf wenzangu wote tulipita pale Kigoma sekondari tukumbushane mazuri na karaha za pale shule... Kwa ufupi kigoma sec utakutana na misemo maarufu kama...
Wanajamvi habari za leo, nataka kufanya Masters in Computer security online, nimepata collage moja ipo spain inaitwa tech technological university, wapo nchini spain na wamekuwa wakinipigia simu...
Habarini wanajamvi na heri krismass na mwaka mpya!
Naomba kujuzwa mtu mwenye masters ya open na yule aliepata masters yake pale Udsm wana utofauti gani watakapoingia kwenye soko la ajira!!
Mfano...
2024 SCHOLARSHIPS
1. Fully Funded Warwick Chancellor's International Scholarships: LinkedIn
2. Radboud University Full Scholarship 2024/2025 For Excellent International Students: Radboud...
Ndugu zangu habari za muda huu mimi ni mhitimu wa Shahada ya Rasilimali watu (BHRM) kwa sasa nahitaji kujiendeleza katika Ngazi ya Shahada ya Uzamili (Masters in HRM) chuo kikuu huria Tanzania kwa...
Habarini Wakuu, Hatimaye Mama kaupiga mwingi tena.
Kwa Maelezo zaidi pitia pdf mimi nitagusia Vipaumbele tu.
6.0 MAENEO NA PROGRAMU ZA KIPAUMBELE KATIKA UTOAJI WA MIKOPO
6.1 Maeneo ya Kipaumbele...
Mimi ni nimwanafunzi wa advance combination ya PCM ninatamani na nina malengo ya kusoma kwa bidii ila kama akili imechoka ivi na ninavitu vingi sijakava na mda ndo unakalibia kuisha niingie kwenye...
Kwanini suplementally na incomplete hazifanyiki kwa pamoja? Yaan unakuta mtu hakufanya mitihani kadhaa halafu baadhi akafanya sasa kwa bahati mbaya aka sup moja wapo lakini siku ya second sit...
Habari Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo Cha utumishi wa umma (TPSC). Mimi ni mnufaika wa mkopo kwa bahati mbaya namba yangu ya simu ilikosewa wakati wa usajili, nmefatilia Sana...
Habari members
Je, serikali imeanza kuzitambua masters by thesis kweny mfumo mpya wa HCMIS?
Naleta kwenu Maada, Kwa kigezo Cha serikali kwenda principle ni lazima usome relevant course?
Je, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.