Naelewa kuna wataalam wa masuala ya kujiongizia kipato kupitia tuition, kwahiyo ni vyema pia tukiungana na kujadili kama sio kubadlisha experience juu ya hii kazi.
Naomba kuwaslisha, ahsante.
This Book teaches us that self-discipline is the key to success and gives us practical advice to master it and achieve self-actualization, happy relationships, and financial security. Let us...
Naamini wote ni wazima na kwa wagojwa Mungu awape wepesi katika hilo.
Bila kupoteza muda
Naombeni msaada wa hiyo course tajwa kwa vipengele vifuatavyo
1. Wigo wake wa ajira ukoje
2. Wigo wa...
Refer to the heading above, do such a word exists or we need to concoct it ?
By the way can you make a mistake while handwriting is that an unintentional mistake between you, your writing tool...
Siasa! Zinaharibu sana mfumo mzima wa elimu yetu ya Tanzania na Adhabu inawarudia wapiga kura wake, nakumbuka Kuna mzazi alikuwa akilalama mtoto kasoma Miaka mnne kidato cha kwanza hadi cha nne...
Bila shaka Jumapili ya mitende imeenda vyedi...
Kwa wale waliosoma chuo tajwa hapo juu kuanzia mwaka 2012 kuna lecturer mmoja anaitwa Innocent Mgeta alikuwa kitivo cha sheria, naskia kwa sasa ni...
Nashauri darasa la saba lifutwe, badala yake libaki darasa la sita tuu na ndilo lifanye mtihani wa taifa
Baada ya hapo watakaofaulu wasiende form one kwanza bali wasome lugha tuu(English) mwaka...
Mm ni mehitimu kidato cha nne mwaka jana nilikuwa na target zangu nikipata chet niombe kazi katk shirika la umma nashukutu Mungu nimepata chet lakn shule niliofanyia mtihani had saiv bado...
Mimi nilianza UDOM 1st year November 2021 lakini kutokana na Matatizo ya nje ya uwezo wangu nikasitisha masomo sasa napenda kujua hii registration yangu as UDOM student inakua valid kwa miaka...
Watoto wa shule za serikali za vipaji maalum kama Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Tabora boys, Kismiri, Kilakala, Msalato.
Hizi shule kwa namna fulani zinashindana hasa hasa hamasa zinatoka kwenye...
Zamani kulikuwa na msemo unaosema kutereza sio kuanguka ,msemo huu ukiuleta kwa wasomi huwa unakuja na tumaini jipya,
Maisha ya chuo yana changamoto kubwa sana mwanzo nilivyoanza nilijua ni...
Nimeshangaa katika pitapita zangu nimeona cheti cha mtu cha Advance katika masomo 3 ya combination ana DDF, halafu yupo chuo kikuu anasoma degree.
Serikali ifute kigezo cha D mbili, ama katika...
Kwa matokeo haya atapata muhimbili?
Maana amemaliza o level 2016 amemaliza advance 2019
O level (two ya point 18)
Math B
Chem B
Bios B
PHYSICS C
Advance(two ya point 12)
PHysics D
Chem D
Bios D
African
Mimi nilisimamishwa shule nikiwa form two kwa muda wa wiki mbili kule Iringa, shule ipo karibu na Lugalo ile ya Serikali jirani yake kuna shule ya private.
Nilisimamishwa kwa kosa la...
Nimeandika vitabu vya financial education, women empowerment na girls rights maalum kwa ajili ya watoto. Pia nna vitabu vya Kiswahili kwa wageni kujifunza. Sina pesa ya designing na kuvichapisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.