Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kila nikiingiza equivalent namba napata meseji hii "Only post request with a payload is allowed" Ambapo equivalent namba natumia namba yangu ya chuo niliyofanyia mtihani. Au nakose...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nina mdogo wangu kasoma CBG, na kwa sasa CBG ni kama wameitenga flani hivi kwenye masuala ya afya. Anapenda sana afya kwa yeye. Ningependa kupata muongozo kwenu, kwa matokeo haya hapa chini...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari, Nilikua tunapitia TCU guide book nikiwa na washikaji zangu kitu kilichonishtua nimekuta kozi za afya C.Medicine ambayo anaweza kusoma kwa digrii ni MD na huku kozi zingine ambazo sio za...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa yeyote mwenye takwimu halisi ya Idadi ya maprofesa nchini Tanzania, anijuze tafadhali.
1 Reactions
40 Replies
25K Views
Habarini, Nina Diploma ina Law nahitaji kusoma kozi za degree tofauti na Law Kipaumbele changu ni kusoma masuala ya serikali za mitaa, maendeleo ya jamii na mipango miji Vyuo km vile Cha...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Naombeni USHAURI KUHUSU CBG Ufaulu wangu Ni Gs D, Math F, Bios D, Geog C ,chem ,F . Kwa mnavyo ona naweza pata kozi gani na chuo gani. Ahsanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HGE asome kozi Gani? Ana one point nane
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hii kozi ya economics in project planning and management inahusu nini?
1 Reactions
4 Replies
996 Views
Habari za muda wama JF! Samahani. Niko na rafiki yangu ambaye yeye amehitimu diploma ya ualimu wa physics na chemistry (PCE) Lakini anahitaji kusoma course nyingine tofauti na ualimu. Matamanio...
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Vp hali jamani ilikua nataka kujua ,sifa unazotakiwa uwe nazo kama unataka kujiunga na it ngazi ya cheti kwa vyuo vilivyopo dar es salam
1 Reactions
12 Replies
25K Views
Habari ndugu natumai ni wazima ,nina shida ya kitabu tajwa hapo juu hasa tafsiri yake ya kiswahili ,kulikua na uzi wa kitabu hiki mwenye link aniwekee hapa
0 Reactions
6 Replies
949 Views
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee. Je, itakuwaje ? Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine?
0 Reactions
2 Replies
346 Views
Habari za saizi wakuu Ninandugu yangu alihitimu diploma ya record management GPA 4.4 mwaka jana 2021/2022 na anahitaji mwaka huu ajiunge degree na alisoma iyo course ya Record baada ya kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 27 nilikua najishikiza katika Shirika flani ila baada ya mkataba kuisha nikawa Jobless. Kazi zimekua ngumu sana kupata hususani sisi ambao hatuna...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kuhusu diploma hyo hapo juu (medical lab) kama mtu akifuzu mafunzo ya hyo coarse kwenye chuo kama UDOM au DECCA anapata ajira direct toka serikalini kama ilivo kwa walimu au...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Naombeni msaada wenu wakuu. Nimemaliza diploma na nilikuwa napenda kuendelea na elimu ya juu lakini kulingana na hali ya maisha naweza nikashidwe kujihudumia na kama mnavyo fahamu chuo kikuu ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu mimi nilimaliza mbeya technical college,enzi za FTC,sasa nikitaka kupata award verification number, kutoka nacte. Nikiingiza INDEX NO yangu ambayo inaanza na U*/, inakataa, inasema nianze...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna mtu anataka kusoma masters ya Education Kati ya hii ipi unamshauri Lengo kuongeza maarifa 1. Masters of education in administration and policy planning. 2. Masters of education in Quality...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu sito isahau paper ya advanced mathematics 2013, ninacho kumbuka mara baada ya mtihani kuna wenzangu walikua wanalia wakuu, kuna hesabu moja ya calculating device skujua nianzie wapi niishie...
5 Reactions
55 Replies
9K Views
Habari ndugu zangu, ni matumaini yangu sote tu wazima na poleni kwa wachache baadhi yetu ambao hatuko sawa ama kiafya ama kifikra hakika yupo mungu anaetupenda na kutuwazia mema kwenye maisha...
1 Reactions
4 Replies
787 Views
Back
Top Bottom