Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Erasto Mpemba (kushoto) na Profesa Osborne, siku ya kutoa tuzo kwa mshindi aliyeweza kutoa sababu za maji ya moto kuganda upesi na kuwa barafu kuliko ya baridi. Nimeona ni vizuri tujikumbushe...
6 Reactions
196 Replies
63K Views
Habari wana ndugu wa JF, Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa wa hii issue maana kuna story nazisikia ety ukiwa umemaliza form six miaka 5 nyuma then hukuenda chuo but this year unataka uende ety ni...
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Nahitaji kujua A, B, C, D za kufuata ili kuanzisha shule ya awali ya watoto.
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Za asubuhi wakubwa. Mdogo wenu nimemaliza kidato cha 4 mwaka 2020,na matokeo yangu ni Chem C,Bios B na Phys D,Math C,English C nikiwa na division II ya point 19...kutokana hali ya kiafya...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Wasalaam wakuu, Poleni na uchovu wa kazi😓😓😓. Ngoja niende kwenye point, iko Hivi dogo amechaguliwa combination ya CBG na nimeskia kwamba imetolewa kwenye coarse za afya. Je, akisoma hiyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi inawezekana mtu kusoma MD vyuo vya Tz kwa gpa below 3 kutoka diploma? Kuna rumors naskia watu wanasoma, sasa kuna dogo namuulizia anataka kusoma na ana GPA below 3
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Habari wasomi! Kama title linavyojieleza hapo juu, nahitaji walimu watatu wa PCM ila wale wanawake ambao wanaishi DAR. Kuna project nataka nianzishe so nahitaji TEAM PCM. Hakikisha kuna somo...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Habari, wakubwa naitwa said abdalah nimemalza 4m6 HGL 2022 Ila sijui nisome course gani. Naombeni ushauri wakubwa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2022, kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari wakuu, Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati...
1 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari zenu wana Jamii Forums. Nilikuwa nina uhitaji wa notes za course ya electrical engineering first year pale DIT ngazi ya diploma. Wakuu wa DIT, naomba msaada.
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari! Nina Diploma in Clinical Medicine, GPA 3.4 ninahitaji kujiendeleza kwa level ya degree lakini sina uhakika wa kusoma full time. Nilifikiria kusoma Open University Bachelor of food...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habali wana JF, Natumai mu wazima wa afya. Ningependa kufahamu katika swala zima la kusimamisha swallah, je ina umuhimu kufanya udhu kila unaposwali? Kwa mfano ukafanya idhu na kusimamisha...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za wakati huu kwenu. Kwanza nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa ukuu wake na rehema tele atupazo katika maisha haya. Nimekuja hapa, nikiamini nitapata msaada na ushauri wa kimawazo...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kipi chuo bora Kwa udaktari Tanzania
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Binti yangu kachaguliwa kusoma A level HGK shule ya serikali, yeye anapendelea kusoma science haswa engineering. Kipi bora kusoma A level HGK shule ya serikali au nimpeleke DIT three years...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama ningeweza kurudisha muda nyuma ili nirudi kuwa muhitimu wa kidato cha sita mwaka 2022, basi ningefanya yafuatayo ili niandae vizuri kesho yangu: Sitaomba Chuo Kikuu kwasababu tu nimemaliza...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama upo chuo au ndio unaenda jitahidi sana kuwa C student soma kama wajibu ila anza kuingia mtaani. Hii itakusaidia kujijenga kwa ajili ya Maisha ya mtaani. Bodaboda Bajaj Mitumba. Saidia fundi...
2 Reactions
4 Replies
665 Views
Back
Top Bottom