Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wana jamii forum nina dogo langu kapata four ya 27 mnashauri akasome kozi gani chuo? Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
2 Reactions
9 Replies
3K Views
MUHASSO ni chama cha wanafunzi wa chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi cha Muhimbili, wanajamii wenzangu nadhani wote mnakumbuka kuwa chama hiki kilifutwa na utawala wa MUHAS kibabe tu na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za mchana wakuu Leo nimekuja na orodha ya waandishi ambao kazi zao zipo kwa lugha ya kiingereza ninaowakubali zaidi. Wapo wengi sana ila hawa wachache ndo nimewakumbuka. Waandishi wa novel...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Habari zenu wanaJF, Leo nimejitokeza kupata kufahamu tofauti ya hii mitaala katika vyuo vya ufundi kati ya CBET na CBA.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari zenu Wa jf nilikuwa nauliza Kwa anaye fahamu gharama za Kozi ya ufundi umeme wa magari Kwa mwaka
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Wakuu, Moja kwa moja kijana wenu nimekuja kuwauliza wana jf, Wabovevu na akili kubwa, naomba kufahamu kuhusu michongo ya hii Master ya Project Management. Je, kwenye soko la ajira ina fursa?
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari waku, mimi ni kijana nnayejihusisha na ufundi wa magari kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa, napatikana Arusha mjini. Katika shughuli zangu nilifanikiwa kununua Mashine yangu ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Shule za vijijini ni kawaida kukuta darasa lina watoto 120 mwalimu ni mmoja na hapo hilo darasa imebidi ligawanywe kati kati nusu wanakuja asubuhi na nusu wanakuja mchana kwasababu vyumba vya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bonjour! bonjour! bonjour!! Hello! hello! hello!! Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani hivi ni kweli kwamba ukisoma EGM a'level University utasomea kitu kimoja na yule aliyesoma HGE. Naomba kwa wale wajuzi wanijulishe kama ni kweli na kama si kweli ningeomba mnijulishe ni...
3 Reactions
41 Replies
33K Views
Naomba fahamishwa mtu anaesomea information communication and technology (ICT) katika vyuo vyenye fani hiyo wanajikita zaidi katika mambogani?
0 Reactions
1 Replies
494 Views
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi(NACTE) limefuta usajili wa vyuo vya CAGETI College of Health Science na Mafinga College of Business Education vilivyopo Mafinga mkoani Iringa Pia chuo cha Mbozi...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Wakuu poleni na majukumu, naomba niende direct kwenye topic Naomba mwenye Act medical and dental practitioners ya mwaka 2005 cap 152 naomba anisaidie maana nimepata ya 2010 ambayo inamatatizo...
0 Reactions
4 Replies
888 Views
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu kozi hizo Ikiwamo ajira zake Urahisi au ugumu kupata Mishahara. Masomo yake
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MAZINGIRA MAZURI YA MTOTO KUJISOMEA NYUMBANI 1. Kuwe na chumba maalumu chenya meza na kiti au sehemu maalum isiyokuwa na usumbufu kwa ajili ya wanafunzi au Mwanafunzi kujisomea akiwa...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu hivi fursa unafanyaje kuzipata? Una-apply moja kwa moja kwenye chuo husika au kupitia serikalini? Au kwa yeyote mwenye ufahami
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu wanajamvi, Nina mtoto wa dada yangu amehitimu kidato cha nne ila matokeo hayakuwa mazuri. Naombeni ushauri ipi njia sahihi ya kumuendeleza? Ni mtoto wa kike miaka 16. Ana...
2 Reactions
56 Replies
31K Views
Jamani mwanangu kapata Div 4 ya point 27. Naomba ushauri nimpeleke kozi gani
0 Reactions
4 Replies
549 Views
Ninashida na kitabu cha someni kwa furaha 2B kile chenye hadithi ya Bulicheka. Na kitabu cha Alfu Lela Ulela(Ile tafsiri ya zamani achana na hii mpya ya Mkuki na nyota) vitabu vyote vinne...
5 Reactions
71 Replies
7K Views
Back
Top Bottom