Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu naomba utofauti wa namna ya kujibu swali kutokana na hizo key(hayo maneno) Mfano umepewa swali: Explain types of research. Describe types of research. 🙏🙏🙏
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari ya majukumu wana jamii forums wote, heshima kwenu nyoote mnaoendelea kupapamba kwa ajiri ya maendeleo ya maisha yetu, 𝐉𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐮 𝐥𝐢𝐥𝐢𝐥𝐨 𝐧𝐢𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐣𝐚𝐦𝐯𝐢 𝐧𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐮𝐟𝐚𝐟𝐚𝐧𝐮𝐳i 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐭𝐮...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za mchana kama kuna mtu anaweza kunipatia package ya question paper na marking scheme naomba aje DM please [emoji120]
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwanini ukija kuanza maisha Ulaya kama ulimaliza degree au level nyengine ya elimu kama umesoma Afrka haitambui elimu yako unaanza upya, nini tatizo?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Find the area of the shaded region!!
1 Reactions
81 Replies
15K Views
Habari nawezaje kujua status halis ya deni langu, mwenye ufaham anisaidie tafadhali. Asante
0 Reactions
4 Replies
582 Views
Niaje wakuu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Si ndo tukafungua "goli" pande za kwa Azizi palee, na washkaji zangu wawili, karibu na kile chuo cha wale jamaa wa mambo ya hela...
1 Reactions
5 Replies
734 Views
Habari wakuu, Nahitaji kwenda kusoma nchini Marekani katika kozi za Afya especially nursing, nategemea kujigharamia mwenyewe gharama zote mpaka kumaliza masomo. Naomba kupewa taarifa na wazoefu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu? Mimi ni kijana mwenye shahada ya kwanza ya uhandisi wa viwanda. Muda sasa nimekuwa nikifikiria wapi nitapata 'short courses' hasa kwenye vyuo vyetu/taasisi za ndani kwa ajili ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni kujua ni utaratibu gani nifate ili nimuamishe mtoto wa kidato cha kwanza kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninaitwa Louis M Fussi Nina umri was miaka 24, Nimemaliza degree ya Bachelor of Environmental science and management kutoka chuo kikuu SUA. Ninaomba nafasi ya kazi, kujitolea ili niweze kuepukana...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habarini za wakati huu wana jamvi, Natumaini ni wazima na mnazidi kusongesha gurudumu la maisha katika nchi ya mama. Sasa katika pita pita zangu kwenye social media nimeokota hili la mwanafunzi...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimepata mshtuko na kushangaa Sana ,Mara baada ya kuona vigezo vipya vilivotolewa tar 15.7 Kwa wanaotaka kujiendeleza kielimu idara ya Afya kutoka stashahada kwenda shahada. Ikumbukwe kabla ya...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Ndugu wadau unaombwa ubadilishano wa vituo vya kazi kutokana mtwara mjini kwenda Dodoma kwa masiliano nicheki 0712704860, AHSANTENI SANA
0 Reactions
22 Replies
3K Views
mi ni mwalimu wa sekondari natafuta mwalimu wakubadilishana vituo vya kazi nitoke Bariadi niende aidha Nyamagana, Kahama, ilemela au shinyanga kama yupo anipm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naitwa riziki nipo musoma mara nataka kuhamia arusha. anayetaka kubadilishana tuwasiliane 0712 309003 au 0687 899 007
1 Reactions
1 Replies
2K Views
awamu ya pili ya mwezi wa tatu tarehe kumi na tano ishapita,je awamu ya pili ni tarehe ngapi na mwezi wa ngapi?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi Naitwa mwal msofe nipo mara musoma... sehemu nzuri... huduma zote zipo... usafiri...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom