Kwa mliwahi kurudia mtihani wa kidato cha nne au mwenye kujua, ilirudia somo moja la physics mwaka jana na nimepata alama D, nimewahi kusikia ili upate cheti kama umefanya somo moja inatakiwa...
Wakuu habari za mda huu na poleni kwa mihangaiko!
Kama maana inavyojieleza hapao juu.
Nahitaji mwalimu ambaye yuko vizuri kwenye upande wa database ili apate niwe mwanafunzi wake kuna changamoto...
Haya ni baadhi ya maneno ya Kiswahili yaliyotumika kuifundisha Sayansi miaka ile,wewe unakumbuka lipi?
1.Hewa ya ukaa -Carbon dioxide.
2.Joto ficho -Latent heat.
3.Hamirojo -Protein...
Mimi nimesomeshwa hilo, yaani kila teacher wa lugha niliyokutana nao ktk kipengele cha poems basi hapo ndo Kimbilio. Mengine ni:
A freedom song
Development n.k
Miaka zaidi ya 15 baadae, watoto...
Sifa na Utukufu ni Mali ya Mungu wetu, Naliinua na kulitukuza Jina lako sasa na hata milele.
Moja kwa mbili kwenye mada, Wadau wa elimu, afya na vyuo vya utabibu na Nacte, ninawauliza je, ni Nini...
Mwanzoni nilileta bandiko hapa kwamba nimeamua kurudia mtihani wa kidato cha nne baada ya miaka kupita 10 wadau walinishauri vizuri sana
Pia nilieleza changamato yangu ya kutokusikia vizuri huku...
Leo Kuna mwalimu nimekutana naye akanieleza kuhusu kalenda mpya ya kufundishia shule za msingi na za sekondari.
Anadai kuwa waalimu Tanzania nzima watafundisha kitu cha kufanana ktk wiki na...
Wakuu habari..
Kuna mdogo wangu, amemaliza form 4 , ila matokei yake sio mazuri, tume plan kumpeleka akasome short course, chuo chochote cha veta....
Ila sasa, hatujajua akasomee kozi gani...
Wakuu hayati mzee wa chato alisema mwezi huu somo la historia ya Tanzania ianze kufundishwa nchi nzima kwa lugha ya kiswahili na ndalichako alisema kila kitu kiko sawa! Sasa naona kimya hadi Sasa...
Hivi hii degree ya clinical medicine,ni miaka mingap huko nje ya nchi,na ukirud unaruhusiwa kufanya operation zote kama MD..??Na anejua ada ya chuo kimojawapo kwa mwaka anisaidie kufahamu hilo pia.
Habari za majukumu ndugu zangu; naomba mtu ambaye ana notes za vipengele vifuatavyo anisaidie; WhatsApp 0733112180
E-mail: hoseadocuments@gmail.com
A:GOLD EXTRACTION
(i) Gold mineralogy
(ii)...
1. Kuna ukweli kuwa mitihani zamani ilitungwa na walimu wakongwe, na sasa NECTA wametunga wenyewe?
2. Usahihishaji unafanyika kwa muda mfupi sana , wameongeza wasahihishaji au wasahihishaji...
Jamani, niko na mdogo wangu wa kiume anasoma Olimpio hapa Upanga yuko darasa la 4 kuna kibarua nilikuwa najishikiza sas mkataba umeisha na anatakiwa aende shule na kule imekuwa mbali kwaiyo...
Naombeni kujua shule za msingi za serikali, wanatumia vitabu vipi ,Darasa la Sita .kuna Dogo nataka nimtaftie hivyo vitabu.
Ikiwezekana naomba na PICHA ili iwe rahisi nikienda kukinunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.