Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kama kichwa cha mada kinavyosema, naomba ufahamu kama ukiwa na Qualification hiyo unaweza soma Postgraduate Diploma ya Business Administration
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya...
31 Reactions
149 Replies
22K Views
Kwa wale wenzangu tuliosoma sheria udsm, tunajua kuwa ni kabudi na majamba tu ndio walipata first class. hii naunganisha na law school ambako wanaweza kufanya mtihani watu 200 wakafaulu 50, one...
9 Reactions
68 Replies
6K Views
Wasalaam wakuu. Mdogo wangu ana GPA 3.1 ya chuo kikuu cha Dar es salaam. Hivi hii G.P.A yake ndogo anaweza kupata nafasi ya kusoma Masters? Karibu wataalamu wa masuala ya elimu.
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Marhabaa wajukuu zangu kwa salama zenu, nirudi kwenye mada tajwa. Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Hey, niggaz kwanza samahanini wote najua nimeweka huu uzi sio mahali pake lakn just nmeweka hili jukwaa sababu huwa nalikubali compared to other forums Me nna swali kdogo tu Always machimbo...
1 Reactions
0 Replies
654 Views
Habari zenu. Guys I am starting with apologize.Nilikua nataka kujua kozi ya human resources unaweza kujiajiri?If yes,How? I need some explaination about ugumu wa kozi hiyo na urahisi wake pia. Na...
2 Reactions
26 Replies
20K Views
Wanajamvi, naomba kujuzwa utaratibu wa bodi ya mikopo kwa elimu ya juu ( HESLB) kwa anayetaka kusoma shahada ya pili yaani Masters degree.
0 Reactions
18 Replies
8K Views
VITABU VINAHITAJI MSAADA PLEES Habarini natumaini mko poa PLEES Mwenye vitabu vya FASIHI ,RIWAYA ,TAMTHILI NA USHAIRI NAOMBA ANISAIDIE HATA NIKIPATA TAHAKIKI YA KIDATO CHA 5 & 6 ITAKUWA NJEMA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wana jamvi bila kuwachosha naomba kuulizia kama kuna mtu yeyote anaefahamu au amewahi soma Masters of Arts in Demography (MAD) Napenda kupata experience kuhusu program hii, 1...
1 Reactions
8 Replies
897 Views
Habarini wakuu, natafuta mtaalam/consultant wa SPSS kwa Dar. NOTE: ni deal la kufundisha watu Ahsanteni
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwenye nazo naomba anisaidie, Waweza kuja inbox tuweke sawa zaidi. Asanten.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Je, kuna faida yeyote ya mtu kusoma kisomo kikubwa?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada ndugu zangu. Nataka mwaka huu nikajiendeleze na masters degree. Target yangu nikusoma moja kati ya hizo kozi tajwa hapo juu. Najua humu kuna watu wanaufahamu mpana juu ya hayo mambo...
1 Reactions
76 Replies
7K Views
Poleni na majukumu wakuu. Msaada natafuta shule au kituo cha kuresite kinachofundisha vzr kwa hapa Dar Mm nipo Mbagala ya Kongowe
0 Reactions
10 Replies
912 Views
Kama mupo walimu wa tabia hii jirekebisheni. Mzazi unahangaika unapata chochote kitu unaamua kumtumia mwanao pesa ya matumizi, kwa kuwa wanafunzi hawaruhusiwi kumiliki simu tunatumia namba zenu...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
ALTERNATIVE METHOD FOR SOLVING THIS CALCULUS PROBLEM Dears calculators (by the way, what do you call the people who calculate?) The method used in solving this calculus problem is superb but...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Watu wengi wanasema maisha baada ya chuo huwa ni magumu sana kwasababu ule mzunguko wa kupata pesa kama kipindi mtu yupo chuo huwa ni mgumu. Kwa experience yako unampa ushauri gani mtu ambae...
4 Reactions
23 Replies
7K Views
Habarini Wakuu, Kuna shule mpya imefunguliwa huko Kinyerezi ambayo itaanza operation officially kuanzia January 2022. Shule itakuwa ni ya Pre and Primary School mbeleni itakuwa na secondary pia...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
If 5% of X is 720. Then what the number will be equal to X? The hardest and easiest mathematical equation ever.
3 Reactions
11 Replies
809 Views
Back
Top Bottom