Nimekuta huu ujumbe sijui unamaanisha nini
"Due to unusual level of activity, responses are delayed, You are in service queue number . Customer with service number 69936 Is currently being...
Habari, Mimi ni binti wa miaka 23, nimemaliza Diploma ya clinical medicine, Niko mwanza, ninahitaji msaada wa maelekezo ya namna ya kupata ufadhili wa masomo au ufadhili kabisa wa kusomeshwa...
Habari wanaJF
Nimeamua kuanzisha uzi huu kwa ajili ya kuwakutanisha wadau wa elimu na wale wote ambao walipita shule ya sekondari ya ufundi tangu kuanzishwa kwake mnamo 1957 .
Lengo ni...
Habari JF.....
Naomba msaada naitaji kurudia mitihani mwakani na nilimaliza kitado cha 4 mwaka 2015 je itawezekana ku_ resit
Mwenye uwelewa pls msaada wake maana dawa hata sielewi ni anzie wapi.
Kama ulitaka kujua masomo ambayo yanafundishwa kwenye shule za international. Hapa ntakuonesha masomo yote na topics mbali mbali wanazojifunza. Ili wewe kama mwanafunzi ujue masomo ambayo...
MCHANGO WA UISLAMU KATIKA MAENDELEO YA MWANADAMU
Katika maelezo mafupi namna hii haiwezekani kuwepo kwa suala la kutaka kuorodhesha namna ambavyo utamaduni wa Kiislam ulivyochangia katika...
Hawa Mlimani Driving wanatoa Course ya Driving kwa bei Kubwa sana kulinganisha na Driving Course zingine
○Automatic wanatoa kwa 300k
○Manual Wanatoa kwa 270k
Serikali inatakiwa iangalie hivi...
Umekuwa ukitamani kuwa na tabia ya usomaji vitabu kila siku lakini kila ukijaribu unashindwa USIJALI ngoja nikupe mbinu nzuri unayoweza itumia kwa mafanikio makubwa.
Anza leo kutumia 'Pomodoro...
Kumbe kipaji kikiendelezwa kinakufanya kuwa mtu wa thamani kuliko hata kumiliki digrii. ama kweli kwa mfumo huu wa elimu wazungu walitupiga na kitu kizito.
Nilikuwa nataka kufatilia zaidi ila huyo mtu aliekuwa anajua hizi ishu na kufanikiwa kuvusha ng'ambo ndugu zake kadhaa aligeuka kunikatisha tamaa wazi wazi, ndipo nilipojua hii kitu wachache...
Salaam,
Likizungumzwa na somo la hisabati kwa shule za sekondari,kila mtu anakumbuka mbali.Kuna wale waliokuwa hawaliwezi kabisa yaani topics zote kitendawili.Wengine walikuwa wanaliweza sana ila...
Nimefanya utafiti wangu mdogo na nimegundua kuwa nafasi nyingi sana za kazi zinazotoka kila siku ni za accountants, watu wa finance, HRs na Auditors. Na ni kazi ambazo zinalipa vizuri sana...
Ushauri
Miaka ya nyuma nilikua naona vitabu vikiuzwa vikielekeza tiba za kiasili !! Ckua na kazi navyo kwan nilikua chaliii!!
Lakin tangu ulimwengu wa smartphone bas cvion wala kuvisikia
Je...
Habar?
Nani anaweza kunisaidia hiki chuo kipo accredited na mamlaka za huko?
Na je TCU wanakifaham maana kuna ndugu yangu anataka kusoma hapo kwa online
Hello!! Mambo? Poleni na mishe za hapa na pale. Kabla ya yote napenda tanguliza shukrani zangu kwenu.
Nilikuwa naomba tupeane mbinu mbili tatu hata zaidi ikibidi namna ya kutusua kwenye usaili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.