Habarini wana jf ,,nilikuw naomba kujuzwa kuwa boom huwa ni shingap na inatolewa kwa miezi mingap
Sent from my itel it1513 using JamiiForums mobile app
Kila msemo au methali au kitendawili huwa kina maana yake na ufafanuzi wake pia...
ila Kuna huu msemo unasema mwenye huruma hanaga bahati.. huwa siuelew kabisa maana yake kama kuna mtu anajua...
habari zenu sorry nlikuwa nauliza ivi kukata rufaa account zetu za SIPA tunaweza edit kama kuongeza cheti cha kifo na vitu vingine ama utaratibu unakuwaje kwa maana nataka nitafute cheti cha kifo...
Salam nyie wanachuo mnaokuja huku Dar, ushamba wenu wa mikoani muuache Ubungo, wengi mnakuja na ulimbukeni na ushamba mnaishia kupigwa hela na makahaba wa mjini, take care. Soma, fanya vitu vya...
Dogo nimemlipia hela ya usajili wa kufanya mtihani QT(form 4) NECTA, pamoja na kumlipia kituo cha kufanyia huo mtihani.
Ila sasa anasema kuna fomu za kujaza kwa ajili ya huo mtihani ambazo...
Sabakher Wakuu;
Mim Ni Clinical Officer Mweny Diploma Kutoka Lugalo, Experience Ya Miaka 2, GPA ya 3.9!! Nimependa Kujiendeleza Katika Pitapita Zangu Mtandaoni Nikakutana Na Kozi Zifuatazo...
Mimi ni graduate wa Sua Bsc. Biotechnology and Laboratory sciences (BLS) ambayo ni more applicable research and Laboratory issues, japo kwa Lab za hospital kuna changamoto kubwa juu ya kukosa...
Kumekuwa na mkanganyiko kati ya hizo kada mbili. Ubishi unakuja kwenye swali:" Je, mhitimu wa diploma nae ni daktari?". Nimecheck maandishi ya Ofisi ya Rais Tamisemi na pia yale ya Benjamin...
Hizi degree hapa chini hazina kazi tena mtaani, kumsomesha mwanao ama serikali kukubali vijana wake wazisome basi ni uhujumu rasilimali-vijana. Hizi zinatakiwa zibaki kwa wale wanaoenda ku-upgrade...
Kulingana na taarifa ya matokeo ya darasa LA saba halmashauri ya Chato imeingia top ten ya halmashauri zilizofanya vyema mtihani wa darasa LA saba Mwaka huu 2017, kumbukumbu hazionyeshi kwa miaka...
Mimi ni graduate wa Sua Bsc. Biotechnology and Laboratory sciences (BLS) ambayo ni more applicable research and Laboratory issues, japo kwa Lab za hospital kuna changamoto kubwa juu ya kukosa...
Baraza la mitihani (Necta) limetangaza matokeo ya darasa la saba na kuonyesha kuwa ufaulu umepanda ukilinganishwa na mwaka jana ,huku kanda ya ziwa ikiongoza kwa ufaulu kwa mara ya tano mfululizo...
"Nawapongeza sana Viongozi,Walimu,Wanafunzi na Wazazi kwa ufaulu mzuri uliopelekea Kigamboni Kuwa ya tisa Kitaifa Katika Matokeo ya Darasa la Saba.Nimefarijika Sana" @DocFaustine Mbunge wa Kigamboni
Part One
Title: KUBADILISHA MFUMO WA ELIMU ILI KUPATA SHULE ZINAZOJITEGEMEA NA KUJIENDESHA KWA FAIDA BILA KUTEGEMEA KARO, VILEVILE KUZALISHA WAHITIMU WENYE UJUZI WA MAZINGIRA YAO NA UHAKIKA WA...
Habari za leo wadau wa jf ,bila shaka weekend imekaa poa.
Naomba mwenye uelewa kuhusu kushikiliwa (withhold) kwa matokeo ya darasa la saba kwa baadhi ya shule ,je ni nini hatma ya wanafunzi na...
Hello, guys kdogo nmeptia nyuz znazohusu chuo kikuu cha Kampala humu jf nyingi znakiponda chuo hiki lakini nmejaribu kuziangalia nyingi almost zote ni za nyuma kidogo kuanzia 2019 na kushuka chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.