Waziri tunaomba washughurikie hawa NACTE watoto wetu wanahitaji hizo AVN ili wajiunge na vyuo vikuu na deadline kama TCU walivyotangaza ni tar 15.10.2021 tayari zimeshakaribia.
Baada ya kukamilika kwa awamu zote tatu za udahili, Tume imepokea maombi ya kuongeza muda wa udahili kutoka kwa baadhi ya waombaji waliokosa udahili kutokana na sababu mbalimbali.
Pia, Tume...
Habari za majukumu ndugu zangu.
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa Pili, chuo Fulani kilichopo Dar es salaam.
Kutokana na ukoseafu wa ajira ninao ushuhudia kwa baadhi ya wahitimu.. ( marafiki zangu...
Je kunautofauti gani kati ya bachelor of science with education (chemistry and biology) na bachelor of education in science ( chemistry and biology) katika upande wa job opportunities na upana...
Habari
Kijana kachaguliwa Bachelor science in library and information management ,
- Tofauti na Library kunakazi gani nyingine anaweza fanya kupitia hii kozi
Ugumu wakozi
Soko laJira lipoje...
Samahani ndg zangu
Nilikuwa naomba kuuliza kwa wenye uelewa na hili Jambo. Mimi nimemaliza form four mwaka Jana nikawa nimechaguliwa chuo kwenda kusoma course ya clinical medicine na tamisemi na...
Hello ,hope wote ni wazima Wa afya, Ningependa Tujuzane mengi kuhusu Hizi Carrier Mbili Kati ya Pharmacy na MD ni kozi Gan Ww unamshauri mwanafunzi Aliyemaliza Kidato cha Sita Na mwenye Ufaulu...
Kutokana na maswali mengi kwa wanafunzi wanaotarajia kuanza vyuo mbali katika jiji la Dar es salaam watakaotafuta hostel za nje pamoja na vyumba kwa wale wote watakaokosa au kutohitaji hostel za...
habari za wakati huu ndugu zangu,kama kichwa cha huu uzi hapo juu kinavyojieleza,tafadhali kwa wenye uwelewa wa hii kozi ya DIPLOMA IN TROPICAL ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION naomba kujuzwa kuhusu...
Habari zenu wakuu,
Niko na mdogo wangu anamaliza diploma yake mwakani ya uandishi wa habari SAUT.
Lengo langu akimaliza mwakani nimpeleke akasome degree yake nje ya Tanzania ukanda huu wa...
Nawasalimu kwa jina LA JMT
Kama ilivyo kawaida kwa nchi yetu. ya Tanzania baada ya kumaliza kidato cha sits wahitimu hao wakike na wakiume hutakiwa kwenda kujifunza mafunzo mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.