Kichwa tajwa hapo juu kwa wale wanafunzii waliofanikiwa kuchaguliwa TIA na wanatafuta vyumba kwa ajili ya makazii tuwasiliane 0765240743 WhatsApp na normal call ukiwa na shida nitafutee
Natumai mko poa sana wakuu
Kama kichwa cha habari hapo juu
Ninaomba yeyote mwenye softcopy za C- Programming books aniseidie nizipate, nitashkuru sana
Ahsanteni in advance.
Habarini wakuu ,,nimechaguliwa bsc in chemistry @mwecau kataika fee structure yao kuna admission fee amabayo ni 3k na inatakiwa kulipwa unapofika chuoni je sisi tunaotegemea mkopo itakuaje...
Ili upate mkopo lazima chuo kitume jina Lako na taarifa zako zote, sasa mimi wakati wa kuomba chuo nilikosea kujaza mwaka wangu wa kuzaliwa, aidha sikuwa makini au keyboard iliautotype.
Sasa...
Nimejaribu ku upload form na 2 na 5 kwenye account yangu ya HESLB nikirudi kuview form hazionekani.
Ni wapi nakosea? Maana hizi siku za kufanya marekebisho naona zinakimbia balaa
Habar zenu wapendwa,
Kulingana na title hapo juu inavyojieleza ni kwamba kwa yoyote anayejua upatikanaj wa notes za Ordinary Diploma in Clinical Medicine either iwe n kwa njia ya magroups au...
Habarini wakuu Mimi ni muhitimu Wa kidato cha sita 2021 na kupata II ya 11 yaani
Phy-D
Chem-D
Bio-C
Je bsc in chemistry in course nzuri na marketable? Ushauri wenu kwa wenye uelewa nayo.
Katika mambo ambayo huwa siyasahau ni hili.
Mama yangu ndugu zake kadhaa wamesomea udaktari. Na hata jina alilonipatia mimi nila baba yake ambaye mpaka sasa ni daktari. Lakini pia mara mimi baada...
Habari wakuu naomba muongozo kwa hili swala la kuthibitisha vyeti vya kuzaliwa je baada ya kuongwa muhuri Rita ni lazima kukipeleka mahakamani pia kiwekwe muhuri? Pili inakuaje mtu aliyethibitisha...
Wakuu habarini za wakati huu.
Husika na mada tajwa hapo juu, hapo nyuma form yangu ya mkopo ilikuwa na shida, kuna sehemu ilikosewa wakati wa kuaply mkopo.( Yaani alijichanganya akaandika...
HESLB Four Days For 2982 Applicants To Complete Loan Application Procedures The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has given four days from October 4-7, this year to 2,982 students who...
Habari za jioni wadau nina ndugu kachaguliwa hizo kozi hapo juu ambazo ni BARCHELOR OF ACCOUNTANCY ya TIA Dsm na BARCHELOR OF ACCOUNTANCY WITH INFORMATION TECHNOLOGY ya IAA Arusha.So ipi ni nzuri...
Nime apply Loan HESLB, nimeingiza namba za kidato cha nne vizuri kabisa lakini haijanipa jina la SHULE husika ila JINA LA MTAHINIWA limefika vzuri kabsa.
Kwenye school nambe ndo shida imeandika...
Kwa wale mnaopenda kuelewa na kuchunguza mambo, hasa hasa kama ulisoma physics advance,
Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu, hii ndio starehe yangu, ila sikuwahi kujua kuwa PHYSICS ni somo tamu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.