Best AEA for those courses,but it depends also with what you like, connection iliopo for such course.. EPP imebase sana kwene sera Sana(pure mchumi)) but AEA imebase kwene kilimo na biashara #kila...
Poleni na majukum wakuu! Naomba kujuzwa kuhusu kufanya mtihani kwa reseaters wa kidato Cha sita hufanya masomo yote au hurudia Yale ambayo alifeli tu?
Natanguliza shukrani!
Habari za Asubuhi ndugu Wana JF, ni matumaini yangu mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu pendwa la Tanzania. Naomba kufahamishwa ada (Undergraduate fees) za Kampala...
Wakuu samahanini nilikuw naomba ufafanuzi kuhusu bachelor of science in information system kwenye upatikanaji ajira na hata pia uwezo wa kujiajiri binafsi kama inawezekana?
kichwa cha habari chajieleza.
Chuo Kikuu Mzume Faculty of Law, wameweka website, mle ndani wameweka list ya unreported cases ambazo hata hawajadigest (kama mendez anavyofanya).
Huwezi amini...
Wapendwa katika bwana habari zenu, naomba ushauri wa kozi gani nzuri Kati ya bachelor of science in economic policy and planning ((inayotolewa mzumbe))VS agriculture economics and Agri...
WATOTO WA MAMA NTILIYE
UCHAMBUZI WA FASIHI SIMULIZI
WATOTO WA MAMA NTILIYE
KIPENGELE CHA FANI:
1. mwanafunzi atatakiwa kujibu maswali yatayohusiana na kipengele cha fani,
2...
2015 nilimaliza form 4 pale Kawe Ukwaman sec Skuli nikaperform vizuri mshua akasema niende Advance maana result zilikuwa bomba Nikasema nipe hiyo Ela niende Veta Iringa mshua akatia ngumu mimi...
Miongoni mwa vitu vinavyoturejesha nyuma vijana katika maendeleo ni kukatishwa tamaa na watu tofauti tofauti na mda mwengine unaweza kuwa na wazo zuri mtu ukamuambia tufanye pamoja na hili...
nilisoma diploma ya uhandisi ujenzi muda kidogo
sasa baada ya kumaliza na maisha kunichapa, nilijikuta nimeingia katika maswala ya uchimbaji wa dhahabu maporini katavi
huko nilifanikiwa...
Habari Wadau Kwa Mwenye Maulizo Yoyote Kuhusu Course Ya Clinical Medicine (CO & CA)
Usisite Kuuliza Hapa:
1. Admission
2. Modules
3. Mikopo
4. Life La Kitabu
5. Maswali
6. Ushauri
7. Msaada Wowote.
Maana ya Usimulizi
Ni dhana inayoelezea utoaji wa habari au hadithi kwa kutumia mdomo au maandishi.
Pia usimulizi huweza kuwa wa matukio mbalimbali kwa kuzingatia ufasaha wa Kiswahili yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.