Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Inawezekana hapo juu sijaeleweka vizuri lakini fuatana nami utaelewa tu, Shule moja hivi ipo Wilaya ya Kilindi Tanga... vijana waliohitimu mwaka jana wakifuata leaving zao wanakuta hazijakamilika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
KWENU WAHENGA : ETI DARASA LA SABA WA ZAMANI NI SAWA NA FORM SIX WA SASA ? 📌Leo nawauliza wahenga waliosoma zama hizo wakati elimu ya msingi bado haijapoteza msingi wake ule halisi wa kumwandaa...
4 Reactions
72 Replies
5K Views
Mimi ni kijana nimehitimu shahada yangu ya Bachelor of science with Education Geography and Biology mwaka 2018 nimeona nifungue fursa hii ili kuweza kupata kianzio ili badae nijenge kituo bora...
1 Reactions
0 Replies
882 Views
Ninaomba ushauri kwa waliosoma stashahada hiyo, kuhusu masomo na mitihani kwenye hiyo kozi.Nimechaguliwa kusoma ualimu wa masomo ya fizikia na biology, nimemaliza form four 2007.Baadhi ya watu...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Nimekuwa nijiuliza kulikoni PCB mtu anafaulu na AAB, BBB, ABB and the like. Kumbe ni mitihani level ya kidato cha PILI na kidogo cha NNE Angalia biology -2020: Maswali ya form 2... kidogo form 4!
11 Reactions
205 Replies
20K Views
Wanajamii forum Naombeni msaada tafadhalinii. Nina shahada ya usimamizi wa Kodii nataka nikasome master kwa sasa hivii, Naombeni kujuzwa naweza kusoma master ya nini kulingana na uhitaji wa soko...
1 Reactions
22 Replies
42K Views
Nimeona vyuo vinahitaji D pass in chemistry, biology , ni ya kweli haya? bandiko lenu naliweka mnakanusha. D kweli form 4 ni kumpeleka mtu kesho aje kutibu watu? OLANDOTO COLLEGE OF HEALTH...
0 Reactions
10 Replies
16K Views
Habari wana jamvi Mimi nimechaguliwa kusoma chuo course ya bachelor of science in education UDOM ila baada ya kufika chuo malengo yangu yalikua kusoma NURSING nmeulizia utaratibu wa kubadili...
2 Reactions
79 Replies
11K Views
Nacte wamefungua tayari, kwa wale wa diploma na certificate only na majibu nadhani yatakuwa yametolewa. Kwa elezo zaid tembelea nacte.go.tz ===== Tayari posts za wale waloapply NACTE mwaka huu...
3 Reactions
310 Replies
248K Views
Nilikuja hapa na tatizo la nephew wangu alidisco, mlinipa ushauri tulioufanyia kazi, aliandika appeal na kuipeleka chuoni mwisho wa mwezi July. Ni kweli kuna makosa yalitendeka, ingawaje kesi...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Msikilize kwa umakini. Maoni yako ni nini?
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Ndugu zangu mnisaidie naombeni ushauri wenu Nimefanya mtihan wa form 4 aalafu malengo yangu ni kwenda chuo diploma Tena napenda nisomee water management au laboratory technician Lakini naona...
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Habari wana JF Naomba ushauri ipi kozi nzuri zaidi kwenye soko la ajira kati ya Masters ya Project Management na Masters ya Social Work. Ahsanteni sana.
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu! Sina nia ya kutambishiana wala kuleta majivuni, HAPANA! Ningependa kufahamu kwa uzoefu wenu hususani mambo ya fani ya sheria. Je, ikatokea umepata LLB kwenye Chuo cha UDOM na...
2 Reactions
60 Replies
10K Views
UNA MATATIZO AMBAYO YANAKUSUMBUA LAKINI HUJUI WAPI PA KUANZIA KUYATATUA? JE, unafikiri ni nani wa kulaumiwa kwa changamoto na matatizo yote unayopitia? Ni mzazi, mlezi, Ndugu, Jamii au serikali...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada wa anaejua bei ya Tuition fee + hostel kwa Makongo na Boabab Secondary Schools kwa alevel
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari, Nina mdogo wangu Ni clinical officer ( Ana Diploma) Ni in charge huko vijijini.Amekuwa aki.apply kwenda kusoma course mbali mbali za afya na hapati huu mwaka wa tatu. Course alizoomba...
6 Reactions
60 Replies
11K Views
Habari humu. Nipo njia panda , nahitaji Mawazo yenu kufanya maamuzi ya mwisho. Ipo hivi nimechaguliwa UDSM ( BA in Psychology) na Tudarco ( LLB). Kila MTU ana ndoto zake lakini pia siku hizi...
1 Reactions
75 Replies
7K Views
Hii ni kwa wote iwe ndani ya chuo au kati ya Chuo..baada kumeet zile criteria zote za kufanya transfer,ni muhimu kuhakikisha programme unayohamia ina kiwango cha ada sawa na ile unayohama sababu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Nina vijana wangu wamepata nafasi chuo cha afya tanga moja kwa moja kutoka kidato cha nne. Katika mambo yalilonishangaza ni kama ifuatavyo: 1. Suala la chakula mwanafunzi anatakiwa kujitegemea...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom