Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu? Naombeni ushauri wenu, mm nimesoma FTC or ordinary diploma in Mechanical Engineering under government spornsership ! Sikupitia advance Lakini nilipokuja mtaani nakuona hali ilivyo...
0 Reactions
5 Replies
939 Views
Habari zenu wanna jf. Nina diploma ya accounting nimepata kazi ila sina cheti cha form four. Mwenye mdada ninapoweza kukipata anijulishe plz Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
19 Replies
19K Views
Kwa mtu aliyesoma IT halafu kwa bahati mbaya akadisco mwaka wa pili au wa kwanza anaweza akajiajiri kwenye computer maintenance?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu habr naomba kujulishwa tofaut ilypo kati ya bachelor of science with education na bachelor of education with science
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kuna hii kozi ya cellular phone maintenance inayotolewa na veta kwa miezi mitatu kwa upande wa software na hardware, sasa je swali ni hivi, kuna uwezekano mtu ukajua software na hardware kwa miezi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina GPA ya 2.8 diploma natamani kusoma degree mwakaa huna ruhusa nimepewa job naomba mnishauri.
0 Reactions
4 Replies
690 Views
Nimeona mahali hiyo degree programe, naomba kwa wenye ujuzi hiyo CTS ni masomo gani au kitu gani kwenye nyanja ya ualimu ?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu! Wakuu, natafuta nafasi ya Kidato cha Tano kwa shule binafsi ya Wasichana kwa tahasusi ya EGM. Shule iwe katika moja ya mikoa ya Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro, Tabora au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za muda huu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ningependa kufahamishwa utofauti ktk hizo engineer na jinsi unavyoweza pata ajira either kwa kuajiriwa au kujiajiri
1 Reactions
47 Replies
10K Views
KODI YA ZUIO NI NINI? (Withholding Tax) Ni kiasi kinachokatwa wakati malipo yanapofanyika kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. "Eng Evans amepanga nyumba kwa Bw. Noah kwa ajiri ya kufungua...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Watoto ama wanafunzi wanaosoma English medium school kichwani hamna kitu wanachojua ni kuongea kiingereza tu... Ila other subjects nothing kabsa yaani hata wa shule za kata bora wana uelewa mkubwa!
5 Reactions
119 Replies
13K Views
Msaada jamani kulingana na kusoma huku nafanya kazi za gereji na changamoto za hapa na pale, nikapata GPA ya 2.8 katika Department ya uhasibu Ila lengo mama nataka nipate degree naombeni mawazo...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wakuu habari za wakati huu, Moja kwa moja katika mada tajwa hapo juu. Naomba mnisaidie details za undani juu ya degree hii. 1. Inahusiana na nini? 2. Field zake zikoje? 3. Idara ambayo inahitaji...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nina mdogo wangu anataka kuanza Chuo mwaka wa kwanza(Certificate). Nauliza hivi itakuwa ni vyema kama atasoma . INSURANCE AND SOCIAL PROTECTION?
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Habari zenu wataalam, nlikuwa napitia past papers za mitihani ya taifa ya kidato cha pili nkaona pepa ya Physics 2017 na 2019 zinafanana, yaan ni km 2017 ilitolewa tu copy na kutolewa 2019. Sasa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wadau... Siyo mara ya kwanza wala haitashangaza mtu kutumia baadhi ya herufi (letters/ the alphabet) kuwakilisha namba mfano, I= II=2 III=3 IV=4 V=5 VI=6 VII=7 VIII=8 IX=9... NK Pia...
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Habari wadau. Sote tunajua katika somo linaloleta homa kulifanya na kulifaulu na ukakasi kulipenda na hata ukilipenda halichelewi kukufanya X wake basi ni somo la hesabu au masomo yenye hesabu...
6 Reactions
40 Replies
7K Views
Mwezi mmoja Una wiki 4, na kila wiki Ina siku 7. Hivyo 7*4=28, Sasa basi siku 30 au 31 kwa mwezi hutoka wapi? Karibuni wanasayansi
2 Reactions
1 Replies
714 Views
Habari ndugu, Naitwa Hamduni Dauda Ibrahimu, Napenda kuomba nafasi ya kazi katika nyanja ya ualimu kwa masomo ya PHYSICS na CHEMISTRY. nipo mkoani Kagera ila niko tayari kufanya kazi mahala...
0 Reactions
6 Replies
974 Views
habarini wana JF, napenda kuwakaribisha wadau waliosoma Makongo high school enzi hizo tukumbushane mambo mbalimbali ambayo kwa namna flani yalikufanya kutosahau maisha ya pale, mimi mpaka kesho...
1 Reactions
81 Replies
13K Views
Back
Top Bottom