Wadau nimeanza mchakato wa kuomba phd hapo IRA-UDSM.Najua kuna changamoto zifuatazo hivyo naomba mnipe namna yankukabiliana nazo;
1.Udhamini angalau kwenye utafiti tu.
2.Muda wa...
habarini wana jamvi mdogo wangu anaufaulu wa Chemistry {c} Biology{C} na geography{C} je kozi ipi ya afya anaweza kusomea katika kada ya afya kwa level ya certificate. na ajira yake ikoje?
Wale waliosoma masomo ya biashara:
- what is retail;
- what is wholesale;
- Importance of retail and wholesale;
Ninaomba kunisaidia yafuatayo pia:
- Types of retail 1.
- tinerant retailers ni...
Wakuu habari za mchana,
Ninaomba kujua shule za private ambazo zinafaulisha vizuri lakini ada yake isizidi 1.2M coz nina mtoto wa kaka yangu alipata Div 3 ya 24 ana C- Hist, C- Geog, C- Kiswahili...
Chuo Kikuu cha Mt. Augustino Tanzania (SAUT), Mwanza kimewafuta kazi wahadhiri watatu kwa makosa ya kujihusisha na rushwa ya ngono na wanafunzi kwa nia ya kuwapa upendeleo kwenye mitihani. Chuo...
Habari za jioni
Anayakifahamu chuo cha Muhimbili Univesity Health and Allied Science naomba anipe maelezo ya ada zao zipoje. Nataka kuapply kozi ya CLINICAL MEDICINE kwa cheti cha kidato cha nne...
Habari,
Naomba msaa wa kujuzwa ilipo Shule Makongoro Secondary school najua ipo mkoa wa mara lakini sijui Wilaya gani? Na nafikaje?
Natanguliza Shukrani sana.
These are additional solved problems (attachment below) intended to be incorporated in the document whose link appears below.
Enjoy your reading
Undregraduate soil mechanics solved problems-download
Katika kuangalia NACTE Admission Guide 2020/2021 ya June 15, 2020 nimegundua vyuo vingi vimefuta utunukiwaji wa Technicians Certificate na badala yake wanadahili waombaji kwa program za Ordinary...
Habari wanajamvi,
Ninataka kuhama chuo nikimaliza certificate (nipo certificate Diploma nataka niende chuo kingine) course ya accountancy chuo cha government.
Je, hii inawezekana na kama...
“Natumai watoto wa sehemu maskini pia wawe na fursa ya kujiunga na vyuo vikuu bora”
Alichosema hayo ni Zhang Guimei mwenye umri wa miaka 63. Yeye ni mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya juu ya...
Wadau habari ya jioni,
Naombaaa kuuliza ofisi za kanda za nacte Mbeya ziko karibu na taasisi gani, kwa mfano shule. Maana mi mgeni kidogo hapa Mbeya ila kuna Uzi nilisoma humu nikaambiwa maeneo...
Habari zenu wana JF,
Nilikuwa naomba ushauri/msaada kama kuna yeyote anaefahamu taasisi au sehemu wanayotoa ufadhilibwa masomo kwa ngazi ya Diploma kwa wale wasioweza kumudu ada. Mimi ni kijana...
Haya, Wakuu kozi za veta na ada zake, hizo hapo chini, tujadiliane hot cake course[emoji116]
Hiyo Aluminum ipoje? Na soko lake vipi
NB: mimi ni mdau wa elimu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilikuwa nauliza kama mtu ana transcript tu cheti hajachukua anaweza ku-apply mkopo na chuo akachaguliwa na mkopo akapewa na vipi akifika chuo alichochaguliwa hawatamuuliza cheti.
Shule zinaenda kufunguliwa tarehe 29 Juni, 2020 kama ilivyotangazwa na Mh Raisi JPM, wizara ya elimu ilitoa maelekezo ya ulipaji wa ada hasa shule za binafsi ( Private Schools) kuwa ada...
Ndugu wana jf kuna ndugu yetu amehitimu kidato cha nne mwaka Jana alipata DIV III 25 katika masomo tisa ana C Tatu ambazo hizina combination yaani KISWAHILI CHEMISTRY NA ENGLISH ana D tano na F...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.