Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa mdau yeyote anayejua Chuo hiki kina sifa zipi anisaidie kujua. Nimepata habari kutoka kwa muhitimu wa chuo hicho ila amezungumza mengi yakiwa hasi,niliona huenda labda yeye ndiye alikuwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana Jf, Kwa ufupi ninaomba kujua ada a hii course Doctor Of Medicine katika vyuo tajwa hapo juu. Nawasilisha.
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Ndugu zangu nisaidie mtoto wa Sista amepata four ya 28 amesoma sayansi ni msichana ana d zaidi ya 4 na C moja ya kiswahili. Miongoni mwa D hizo zipo za Chem na Bios. Je anaweza kusoma fani gani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wamesoma michepuo inayojumuisha hisabati (Advanced Mathematics) majina ya jamaa hawa si mageni katika uwanja huo. Swali ni je nani kati ya hao wawili hapo juu yupo bora zaidi kwa...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanafunzi wa kidato cha 5,6 pamoja na vyuo kama kuna maswali yanayosumbua katika mada ya Tafsiri na Ukalimani hapa ndipo suluhisho lake. Karibuni
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Naamini mambo ni powa, samahani kwa yeyote anayejua ambapo duka la vitabu vya kujisaidia katika nyanja zote za maisha,namaanisha zile self help books, kwa MTU anaejua maduka au maktaba zinazitoa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi mwaka 2018 nilimaliza Kidato cha Sita na kuchaguliwa Mwenge University lakini sikuipenda kozi hivyo nilihairisha masomo na mkopo pia nilisitisha. Nliambiwa mwaka 2019 ningepewa mkopo kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Kama kichwa cha thread kinavyojieleza nahitaji wote tuliopitia TARIME SEC tukumbushane maisha ya pale, either ulipitia O level au hata A level. Karibuni.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habari ndg naomba kupewa msaada apa wakuu naitaji kwenda kusoma form v nimepata Hst c geo d math c engl b kiswahil b civics c biology d nilikua nadhani kuwa HGE iko sawa ila nikaona niwasilishe...
0 Reactions
28 Replies
38K Views
Habari wana jamii, mimi ni nina elimu ya kidato cha nne ya 2009, lakini mpaka sasa sijachukua cheti changu, nawezaje kukipata kwa urahisi? Je, nikienda shule niliyosomea nitakipata?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu sana wanafunzi wanaosoma University of Dar es salaam (UDSM) wamekuwa wakiona chuo chao ni kama TOP in TZ. Lakini mimi naomba tuangazie anga za uhandisi hasa hasa pekee, je UDSM wapo...
3 Reactions
26 Replies
13K Views
Kumekuwa na kasi ya ongezeko la uanzishwaji wa kozi mbalimbali katika vyuo vyetu Tanzania bila kuangalia ubora wa elimu kwa wanafunzi wanaomaliza (graduates) katika fani hizo, kuweza kushindana...
2 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari za majukumu wakuu? Kama mada inavyojieleza, naomba kujulishwa jinsi ya kuomba nafasi ya masomo Chuo cha Patandi ktk kozi ya elimu maalum pia kama kuna link naomba mnisaidie. Na Kama kuna...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa, Nikiwa Kama senior member humu, ninaleta mbinu za kuhama shule au chuo ulichochaguliwa Baada ya Tamisemi Ku allocate Majina ya vijana waliomaliza form 4 mwaka Jana 2019...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini wana jukwaa wenzangu. Naomba mwenye uelewa kuhusu kozi ya enviromental Health Science anisaidie kunifaamishe kwenye kipengele cha ajira kama kozi ina soko au laa. Pia, jinsi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I loose hope and sometime I give up but I m so bright in the class but now I see like things are so difficult to me. I' m studying at college I m second year. Next year I m going to complete my...
0 Reactions
60 Replies
4K Views
Kwa wale wahitimu wa kidato cha nne wanaotamani kujiunga na fani mbalimbali za afya hii inaweza ikawa msaada kwao Disclaimer:Nimezisort fani hizi kwa "utashi wangu" wa jinsi ninavyoona demand ya...
13 Reactions
97 Replies
43K Views
Salute wakuu!! Jifunze haya toka kwa Jack Ma: Bilionea aliyekataliwa mara nyingi zaidi KARIBU Tujifunze kutoka kwa ‘Ma Yun’ maarufu kwenye ulimwengu wa biashara ya mtandao kama Jack Ma...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa Taifa Letu. Well, nina wadogo zangu wawili wamemaliza form four wamechaguliwa kuingia Chuo wakiwa na ufaulu wa Division III hili...
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Habar wadau wa JamiiForums, Naomba kujua kama unaweza ukasoma Course ya Computer Science kwa ngazi ya Stashahada (Diploma) kwa kupitia online na ukaiva? Naomba kuwasilisha
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom