Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wanajamvi Habari, Naomba msaada kwa wenye uelewa wa elimu ya masters wanipe msaada wa mawazo kidogo. Kitaaluma mimi ni mwalimu. Soon baada ya kuhitimu shahada yangu (program BED) mwaka huu...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Mdogo wangu kamaliza kidato cha nne ufaulu wake ni Division III 25 CIVICS - 'C' HISTORY - 'C' GEOGRAPHY - 'C' KISWAHILI- 'C' ENGLISH - 'D' BIOLOGY - 'D' B/MATH - 'F' Ni kozi ipi nzuri...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Msaada wa kupata notes za Form 1 Hadi 4 kwa PDF Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
36 Replies
10K Views
Salaam kwenu. Tunafahamu umuhimu wa kusoma vitabu. Ni namna moja wapo ya kupata maarifa ya kiuchumi, taaluma, siasa, mapenzi ,kijamii nk. Kwa utafiti mdogo niliofanya katika mazingira niliyopo...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
poleni na majukumu na harakati za kupambana na maisha. Nombeni notes za Chemistry advanced (five na six) soft copy. Au mwenye link au App ambapo naweza pata notes nzuri anijuze. Natanguliza...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
uniRank World Universities Rankings & Reviews Top 200 Universities in Africa 2020 African University Ranking New Rank University Country 1 University of Pretoria South...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
NACTE wanafungua lini dirisha la intake ya October 2020. Kawaida March huwa i wakati dirisha la kuomba vyuo linafunguliwa. Leo ni April hamna hata dalili. Tuhabarishane mwenye fununu. Sent using...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Swali linasema, Find the nth term in the series 3,6,12,24 Nimehangaika nalo sana sijapata jibu.
2 Reactions
6 Replies
921 Views
Kwa mujibu wa mfumo wa Elimu Tanzania Tuna darasa (STD) 1 hadi la7 kwa while za msingi Halafu tuna 9 - Form one 10- Form Two 11- Form Three 12 Form Four sasa swali ni je hill darasa la nane ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Niko Dar. Nahitaji kufanya kozi fupi katika maeneo tajwa hapo juu. Naomba recommendation ya sehemu nzuri ya kuzipata. Data analysis kwa Stata. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau napenda kuelimishwa maana ya G.P.A katika elimu ya juu inamaana gani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari wananzuoni wa Taifa letu teule, Naomba msaada wa kupata baadhi ya mitihani ya taifa kwa miaka iliyopita kwa shule za msingi kwa maana ya kuliandaa taifa letu na wasomi wa baadae Nikipata...
0 Reactions
9 Replies
45K Views
Wakuu habari za jioni. Naomba yeyote mwenye notes za somo la kiswahili kuanzia form 1 mpaka form 4. Ziwe zimeandikwa vizuri na uchambuzi wa fasihi uwe umechambuliwa vizuri. Nitapiga photocopy kwa...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Naomba mwenye notes nzuri za practical biology A LEVEL anisaidie, au tuongee biashara nazihitaji sana. NB: Ziwe na practical zote za A-level kama vile dissection, food test, classification nk...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hallo naomba kuuliza! Mtu akisoma post graduate diploma of law! Akimaliza anakua qualified kwenda school of law? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waungwana naomba mawazo kidogo.mimi nilikuwa mwalimu wa certificate (2014) bahati nzuri nimefanikiwa kuendeleza elimu kwa kiwango cha degree na mwaka huu nahitimu mungu akipenda. Naomba ushauri...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wanachuo mliopo likizo ya corona. Nina wazo la kubadilisha sehemu ninayokaa ili iwe hosteli ni mtaa karibu na chuo kikuu cha Ruaha. Sasa nipo kwenye stage ya kukusanya taarifa mbali...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamanii wanajamii forums naombaa kuulizaa kua kua dogoo langu kapata phy F ,math F ,engl C , chem C na bios C.. anawezaa kusomaa chuo cha afyaa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
3K Views
nina imani wengi wetu tumepitia situation kwenye mitihani ya taifa au chuo(ue)...mambo yanakuwa magumu kiasi kwamba huna namna zaidi ya msaada lazima uigilizie... japo kuna walim wengine ni...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habariza Jioni wana JF.. Samahani naomba msaada wa kupata link yenye matokeo ya mitihani ya kozi za afya iliyofanyika mapema mwaka huu 2020...au namna yeyote ambayo naweza kuona matokeo bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom