Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wa ndugu, kwa yeyote anaehitaji notes bora za kujisomea, kufundishia na pia vitini vya maswali na majibu katika masomo ya o,level na Advanced level yote yanapatikana. Tunapatikana Dar es...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa hili.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina ndugu yangu kijana lakini amekumbwa na fedheha hiyo nimejaribu kutafuta vituo mbali mbali ambao nitapata huduma hii lakini...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kwanza natanguliza shukran pili natumain mu wazima wa afya tele. Naomben list ya vitabu vizur vya kusoma tafadhar nkipata na PDF zake nitashukuru zaid. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Graduates jamani karibuni sana mtaani, mmetoka chuoni, mambo yanabadilika na kuwa tofauti, huku mtaani hakuna bumu, huku hakuna atakayekupa pocket money! Wengi wenu mna matumaini makubwa ya kupata...
22 Reactions
102 Replies
17K Views
wakuu habar za muda huu, Naamini hapa nipata msaada wa kutosha na mbinu mbalimbali kutoka mashule mbali mbali namna wanavyofanya kupata wanafunzi wengi kwenye shule zao. Hivyo, naomba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna mtu anaulizia hii college ya MWANZA YOUTH CENTRE imesajiliwa na nacte? Matokeo baada ya kumaliza wanapeleka nacte aliyesoma hapo atupe updates Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nina mdogo wangu anataka kusoma kozi za afya kulingana na matokeo haya mnamshaurije? mana alnambia akienda advance anahofia akipelekwa kozi za arts. bios B chemistry D geo C English C Kisw B...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Natanguliza shukuran; Ndugu mm nimehitimu 2018 Diploma in secondary Education katka masons ya Biology na chemistry ila kwa sasa bado sija ajiriwa ila nahitaji mwaka huu niende kusoma degree ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ujumbe kwa serikali Wakasome Technologies na Tiba kisha warudishwe hapa Tanzania watupwe kwenye manufacturing industry na tiba haki ya nani tutapiga hatua haraka sana. Tufanye hivyo kwa miaka...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Historical Background The University of Dar es Salaam (UDSM) is a public university in Dar es Salaam, Tanzania.[3] It was established in 1961 as an affiliate college of the University of London...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Africa Facts What are you looking for? Menu HomeAfricaInteresing FactsTop 50 Universities in Africa Africa, Interesing FactsTop 50 Universities in Africa PREV ARTICLE NEXT ARTICLE Which...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ufaulu wa masomo yangu...Physics D,Chemistry D,Bios C and basic mathematics D
0 Reactions
86 Replies
18K Views
MimI nImesoma chuo cha mwalimu nyerere memorial academy course ya ordinary diploma in primary school,na nina gpa at least 4.5. Je, ninaweza kusoma degree ambayo haihusiani na education, kama ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu mtakuwa mashahidi, elimu siku hizi duniani imerahisika sana. Sio vita tena, bali ni kutoana ujinga tu kisha kila mmoja apambane na hali yake akiishafika huko mitaani. Sasa kumtaka mtu kwa...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Shule za private zipo za Aina kadhaa. 1. Zinazo milikiwa na Taasisi (eidha za kiserikali, zisizo kuwa za kiserikali au Taasisi za kidini) 2. Zinazo milikiwa na makampuni. 3. Zinazo milikiwa na...
8 Reactions
57 Replies
6K Views
Mwenye hichi kitabu naomba antumie Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba kujua kozi za chuo cha maji zipoje sokoni,vipi uhitajika wake kwenye jamii upoje. Asante
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Wana jf ningeomba kujua ni kipengele kipi na kipi ukisoma ICT unaeza pata kazi kwenye makampuni ya mitandao ya simu kama vodacom, airtel e.t.c. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Ninaomba msaada kwa yeyote anayeelewa anasaidie kuelewa yafuatayo:- 1. Mwajiriwa anastahili kukatwa Kodi yoyote au Michango ya Mfuko wa Jamii wakati was Probation Period? 2. Posho anayolipwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mimi ni Mwalim wa Sekondari nafundisha sayansi. Form 4 nina Div. 2 nilimaliza mwaka 2005, Advanced Level nilosoma PCM nikapata Div. 2 na Chuo nikasoma BSc ed. Nataka nikasomee Udaktari na...
1 Reactions
44 Replies
10K Views
Back
Top Bottom