Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau naombeni kuelimishwa. Binti yangu kamaliza Form Four kapata Div 1 ya point 10. Alifanya masomo ya biashara na kafaulu vizuri katika masomo husika. Safari yake ya maisha anataka kuja kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naandika haya kama Mtanzania Mzalendo ambaye ninaamini kabisa kwamba Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe na kwa faida za Watanzania wenyewe. Ninatambua kwamba katika hili la elimu kunaweza...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
CV -"C' HIST-"C' GEO-"C' KISW-"C' ENGL-"C' LIT ENGL -D PHY-"D' CHEM-'D BIO-"D, B/MATH-"D' Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Jaman nina ufaulu huu Civ D, Geog D, Engl D, Kisw C, Hist F, Math F, Bio F, Chem D. Nisaidieni college ambayo inanifaa kwa kulingana na ufaulu wangu. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari wakuu huyu kijana kwa matokeo haya akasomee nini: Div 2.20 Eng - B, Phy - D, Chem - C, Hist - C, Geo - C, Civics - C, Kisw - C, Bio - C, Math - F.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
No madaraja No increments No uhamisho Ila . Mfaulishe kwa zaid ya asilimia 90. Mdhibiti utoro kwa asilimia 95. Mkuze nidhamu kwa asilimia 95. Pia. Muandae notsi kwa asilimia 99 Muandae Lesson...
9 Reactions
46 Replies
6K Views
Wana JF, nimejaribu kuwaza kwamba juzi kwenye matokeo ya mtiani wa kidato cha nne 2019 hawa vijana 10 au "the best 10 students" kama yule kijana Yohana kutoka mkoa wa Simiyu na wengine waliotoka...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomben msaada DIVISON FOUR 26. Anaweza kusoma Advance ?? Division [emoji117]26 IV CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F' Sent using...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu naombeni mnieleweshe, kama umemalza Form Four unatakiwa ufaulu masomo gani ili uende kusomea (IT)? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
12K Views
Nina mdogo wangu kahitimu kidato cha nne. Anahitaji kujiunga na Certificate katika Chuo cha NIT. Naomba kujua NACTE wanafungua lini maombi na utaratibu ukoje? Asanteni.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za mda huu wanajukwaa... Je unakumbuka siku yyaliyotangazwa matokeo yako ya form four.. Share nasi uliyapokeaje? ulijisikiaje?, kuna kitu gani unique ulifanya unakumbuka?, ulikuwa katika...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Google bana yani wananiambia weird kwa kiswahili weather mzungu nae hapa kazidiwa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Serikali ikiamua kutekeleza mpango wa kuajiri walimu wa masomo ya sanaa ngazi ya shahada kufundisha primary. Je, haiwezi kuzua migogoro na migongano ya kimaslahi...
1 Reactions
4 Replies
827 Views
Habari zenu, hebu rejeeni kichwa cha uzi hapo juu. Naamini mpo vyema kiafya, hata mimi nipo hivyohivyo na shukrani zote kwa Muumba. Kilichonifanya nikafungua uzi huu, ni kuhusu huu mfumo wa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Agribusiness Law Information tecnology
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Jamani naombeni kujua kwa mfano chuo kama IFM au vyuo vyote ukitaka ku-apply wanakwambia andika index number. Naombeni kukumbushwa jinsi ya kuandika please. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nalipongeza Baraza la Mitihani Tanzania kwa kutoa matokeo ya kidato cha nne mapema. Sasa ushauri wangu ni huu; kama wahusika wa elimu Tanzania mnajua kabisa hali ya uchumi ilivyo nchini wazazi...
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Habari wakubwa, natumai mu wazma wa afya. Najua wengi mmesoma Vyuo mbalimbali katika kozi mbalimbali lakini naomba kuuliza swali moja: Ulipokuwa Chuo ulijipatia kipato kwa njia gani na ilikuwa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Naombeni ushauri kuhusu hii kozi ya Business Administration with Education, kama nikisomea naweza fanya kazi za aina gani?
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Hii ni thread maalumu kwa wale form four na form six wote wenye kutamani kujiunga na vyuo vya ufundi Vyuo hivyo ni Dar es sallam institute of technology(DIT) Mbeya university of technology(MUST)...
6 Reactions
259 Replies
78K Views
Back
Top Bottom