Habari za wakati huu wanajanvi,
Naombeni msaada wenu kwa mwenye uelewa juu ya jambo hili. Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka huu ana division four ya 26 CIVICS D, HISTORY F, GEOGRAPHY...
Kuna usemi usemao kuwa, "ukiona vyaelea ujue vimeiundwa!". Katika muktadha tu wa kawaida usemi huu una maaana yake yenye busara nzuri tu katika jamii. Usemi huu humaanisha kuwa ukiona aidha kitu...
Habari zenu wataalam, kwa kifupi Mimi kwa level ya bachelor nilisoma Economics ila napenda sana niwe na CPA na ninataka january nianze kujifua kwa ajili ya mitihani ya mwezi mei. nimeangalia...
Vijana changamkia fursa za masomo hizi hapa.
https://udahiliportal.com/queen-elizabeth-commonwealth-scholaships-qecs-tenable-in-the-hosting-universities-for-qecs-2020/
Mmetuwakilisha vyema sana, sisi kaka zenu (school alumnis), Nyegezi Seminary my precious school.
And much congrats to other top 10 CSED 2019 best students.
Wakuu habari za majukumu ya kila siku niende kwenye ombi langu baada ya kutangazwa matokeo ya kidato cha nne nina ndugu yangu ambae amemaliza shule ya sekondari YUSUFU MAKAMBA jijini dar es salaam...
Ile shule maarufu ya wasichana Mbeya St. Francis ipo hatarini kufungwa baada ya wazawa kukabidhiwa toka kwa masister wa shirika la Mtakatifu Karoli Boromeo kwa kile wanacho dai wanaenda kihasara...
Unaeza soma Law then Marketing ikakulipa, au ukasoma Marketing then Education ikakulipa maisha ni mchanganyiko wa mauzauza.
Kosa ni kujibana katika taaluma ulosomea. Tanua wigo uzifikie fursa...
Habari za wakati huu wadau wa elimu katika jukwaa hili adhimu,I hope mko salama..
Nina mdogo angu kamaliza kidato cha nne mwaka Jana '2019',na kwa mujibu wa matokeo yaliyotolewa juzi na Necta...
we provide training in CISCO course such as Cisco Certified Network Associate(CCNA) & Cisco certified Network Professional (CCNP). We have a quality & effective CISCO laboratory which cover all...
Naomba kuliza samahani kuna dogo alimaliza form four 2012, nakupata pass tatu kisw, civcs na bios,baadae aka endelea na cheti hadi diploma na kumaliza, alikwama kuendelea na degree kutokana na...
Habari ya wakati huu wakuu.
Poleni na majukumu mbalimbali ya kulijenga taifa.
Nikiwa mmoja wa wadau wa elimu nchini, napenda kutoa shukrani na pongezi zangu kwa TETEA Inc ambao ni waanzilishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.