Habarini wana JF
nimechaguliwa NIT automobile ila ninataka kubadili nisome mechanical engineering kwa sababu siijui vizuri automobile naombeni ushauri wenu ipi kati ya hizo mbili ni nzuri na ina...
Wakuu natokea moja ya mikoa ya Kaskazin
Nina mdogo wangu kapangiwa mambo ya Agriculture general kule uyole mwenye contact au namna ya kupata join instruction msaada wako kwani kwenye network sioni...
Haijalishi mnaoenda vyuoni mnaenda kusoma nini, kama ni engineering field, au Health field, au business field, au kada yeyote, jamii inahitaji output ya ulichoenda kusomea na sio umesomea nini...
Naam nilikua napitia katika website ya nacte http://41.93.40.134:8080/noavs/Closed.jsp nimekuta kuna ujumbe wa msisitizo unaosomeka hivi
Kindly be informed that admission cycle for academic year...
Kuna vijana wengi waliomaliza Form 4 ambao sasa ndio wanakwenda kuanza masomo yao ya Certificate in Information and Communication Technology (ICT).
Wengine wao hata uhakika na kile...
Habari wana Jf mimi ni first year tarajali na nmekosa mkopo je nifanyeje ili nihamie Chuo kilicho karibu na home ili familia ikasimamie show kwenye ada na mahitaji yangu mengine nikiwa chuo.
Salaam wana JF, natumai mu wazima..
Bila ya kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye topic. Naombeni ushauri ni course gani nzuri ya kusoma kati ya hizi.
1.Auto-electronics & Electronics...
Kutokana na vijana wengi kushindwa kuendelea na masomo, au kusoma katika mazingira magumu ya kukosa vitendea kazi, baadhi ya vijana wa kitanzania wameamua kuanzisha foundation hii 'Flying Bird...
Hey!
Hope ni wazima, We all know imebaki miezi miwili mwaka kuisha. So from january up to this month october. Umejifunza nini? Just sema chochote kama umepata experience au changamoto au chochote...
Habari za jioni wanajf....bodi ya mikopo ya elimu ya juu leo hii imetangaza majina ya wanufaika wa awamu ya kwanza ( 1 batch ) ...wa mikopo hiyo...taarifa hiyo imetolewa na kurugenzi ya bodi...
Hii ni kwa wadogo zangu wanaotegemea kuanza kusoma vyuoni.
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kuchaguliwa katika vyuo mbalimbali. Maana ni wengi walitamani kufikia hatua mliyopo ila kutokana na...
Nina admission za Masters Degree katika Course zifuatazo
Naomba ushauri ipi nisome yenye opportunity kubwa
>>Masters of Science in Chemistry-UDSM
>>Masters of Science in Public Health-Hubert...
Kuanzia Tarahe 5 November 2020 tutakua na mafunzo katika kufanya Utambuzi wa Awali na Afua za Mapema (Early Intervention and Identification) na kujua namna ya kuwaendeleza (planning better...
Habari ndugu,
Wataalamu wa kodi (Tax) na wenye uelewa wa mambo haya, naomba kupata mapendekezo (recommendations ya vitabu vinavyohusu mambo ya kodi, ambavyo ni rahisi kueleweka kwa mtu asiye na...
Nacte tarehe 10/8/2019 hilitoa luhusa ya kuhama kozi mimi nilihama korongwe teacher college nkaenda MUST hivi ukiama unakuwa bado government sponsorship au private sponsorship
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.