Kuna taarifa kwamba Kaimu Mhariri wa Mtanzania D. Balile amekamatwa na polisi na yuko kituo cha Oysterbay, yeyote mwenye taarifa kamili atupe , ana tatizo gani na kama ni kweli ama si kweli.
Mheshimiwa magufuli kwa kweli umeonesha ni namna gani unaweza kuponya vidonda vya watanzania. Ninapokumbuka ule mchaka-mchaka wa magari ya umma watu walikuwa wameyaweka uwani na kuandika majina...
Huko bungeni Makinda naona atalia, maana hii timu ya CHADEMA na coach wake
Dr Slaa inatisha, look these, all are strikers, defenders, Dr Slaa atakuwa kama
Sir Alex Ferguson, anpoint where to...
Habari nilizopata hivi punde toka jimbo la Uchaguzi la Ngara Mkoani Kagera, ni kuwa lina wagombea wawili Moja ni Ndugu Ruhuza wa NCCR na Mzee Ntukamazina. Wakati Ruhuza anapiga kampeni kwa bid...
Jana asubuhi bbc walikuwa wakimuhoji AM na walimuuliza kuwa anaandaliwa kugombea urais akasema kama nikifanya mambo ya kueleweka miaka hii mitano basi naweza......
Je CCM wanajiandaa kuweka...
Ndugu wanJF,
Jana katika kipindi cha tuongee asubuhi cha startv, kulikuwa na mjadala kuhusu baraza la mawaziri lililoundwa na Rais JK hivi karibuni.
Kulikuwa na wachangiaji watatu studio ya...
Ndugu wana jamvi wa JF,toka uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995 chama cha CUF(ccm-b) kimekuwa kikishinda viti vya ubunge huko Pemba.
Tumejionea maendeleo yaliyoletwa na wabunge wa CDM huko Karatu...
Kwa kawaida jambo la muhimu sio tu kufanya jambo la muhimu.
Ni muhimu kufanya jambo la muhimu wakati muhimu na unaofaa. HAPO NDIPO JAMBO LA MUHIMU LITAPEWA UMUHIMU.
Viongozi wengi wanalijua hili...
Wajameni, habarini za leo tena?
Ninakumbuka kuwa jana Kata 23 ambazo hazikufanya uchaguzi wa madiwani wake tarehe 31/10 zilipaswa kuwachagua wawakilishi hao jana. Je, kuna mwenye updates za...
Wadau msaaada kwenye tuta, kama kuna mwenye kujua walau hata kuwa na fununu kuhusu walichokubaliana Maalim Seif na Rais Karume kwenye ule muafakaa, autambie tujue, japo kidogo!!!
Maana hawa watu...
wanajamii, msoma mjini ni jimbo langu la kuwa mbunge tokea nimezaliwa, na nimezaliwa katika familia ya kisiasa ambayo baba yangu mzazi ALIUWAWA kwa mbinu na ishu za kisiasa
NINAYO DHAMIRA YA...
Kati ya maajabu katika siasa ni ya chadema. Hawatambui matokeo ya urais halafu rais wanamtambua. Hii ni kali kama huamini kuwa hakushinda kwa halali basi ili takiwa asitambulike kama raisi halali...
Kuna tetesi (zisizo rasmi) kuwa kuna uwezekano wa mh huyu kutorejea tena jimboni mwake 2015, sababu zilizopo ni ndizo zilizopelekea hata kutokuwemo kwenye cabinet iliyoapishwa hivi punde hapa...
Kuhusu rushwa, waziri huyo aliahidi kupanda lori lililozidisha uzito na kutoa rushwa na akasema akikamilisha kazi hiyo watakaohusika watamtambua. Aliwataka watendaji wa mizani kusimamia sheria...
51
.-(1) Kutakuwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano atakayeteuliwa na Rais kwa kufuata masharti ya ibara hii na ambaye kabla ya kushika madaraka yake ataapa mbele ya Rais kwa kiapo...
Chadema waitunishia Polisi misuli Send to a friend Monday, 29 November 2010 09:01 0diggsdigg
Mkurugenzi wa Sheria Katiba na Haki za Binadamu wa chadema Tundu Lisu akizungumza na waandishi wa...
Kiukweli inauma sana kwa kitendo ambacho tume wanakifanya sasa hii,, halafu hawana hata aibu hawa wanasheria kwa mfano lewis Makame, anafikiri watanzania ni mambumbumbu kiasi cha akufikia...
Nadhani mliangalia mdahalo wa jana na mliona kwa kiasi gani HR alivyodhihirisha wazi kuwa anahitaji bado kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani. Mlimuona anavyoongea kwa jazba yeye rafu aliziona za...
Ndugu wana Jamii wenzangu,
Ni muda mrefu toka nimeandika maada katika jukwaa hili la siasa na hii imetokana na kutigwa na shughuli za hapa na pale ila kila mara nimekuwa nikipita humu na kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.