Kitendo cha CHADEMA kutoka Bungeni mbele ya mkuu wa kaya akihutubia ni kitendo cha ujasili uliopindukia. Maana watanzania wengi hatujui nini hasa Demokrasia inavyotakiwa kuwa. Ni kweli JK ni Raisi...
Sio siri uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais wa mwaka huu 2010, umeacha maswali mengi na maeneo kadhaa ya Political analyst na Political Scientist kuyafanyia kazi. Moja ya eneo hilo ni IDADI NDOGO YA...
kutokana na hali ya kisiasa nchini mimi naona ni bora tukirudi kwenye chama kimoja ,kwanza 20% tu ndio walitaka vyama vingi the rest hawakutaka.kwanza nani kasema demokrasia lazima iwe ya vyama...
Kwa kuwa chama cha CHADEMA ndicho kilichopata viti vingi vya ubunge na udiwani ktk mkoa wa kilimanjaro, na kwa mujibu washeria za nchi yetu CHADEMA ndio watakaounda serikali ya mkoa huu kwa hiyo...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kutoka kwa katibu wa mkoa wa KINONDONI, KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM, HENRY J KILEWO
Kwa niaba ya chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA, tunapenda...
suala la wabunge wa chadema kususia hotuba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania tarehe 18 novemba 2010 limezusha hisia na maoni tofauti kutoka kwa wadau mbali mbali. Wapo wanaoona kuwa...
Kama CCM inajiamini ilishinda uchaguzi wa Raisi kwa nini uchaguzi mkuu usirudiwe ili kuondoa uhasama na wa tu tukarudi kuendelea na shughuli za kujenga taifa??? Hamna wazee wenye busara nchi hii...
Wandugu,
Nimekuwa nikitafakari vimbwanga vilivyotokea hapa nchini vilivyoweka rekodi ya aina yake tangu nchi yetu ipate uhuru. Najua vipo vingi, lakini nitachokoza kwa kuanza na hivi vitatu...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax...
Kuna utata kidogo kwenye website ya NEC, ukifungua ile link ya 2010 Presidential Results haikupeleki kokote,inarudi kwenye home page sasa hapo sijui wanaogopa nini tena?
Chadema: We recognise the president
By Dominic Nkolimwa
22nd November 2010
Says walkout misinterpreted
CHADEMA national chairman and official leader of Opposition in the...
Wakati viongozi wengi wamekuwa wakikumbukwa na watanzania hata baada ya kumaliza muda wao watu hutamani sana waongezewe muda wa uongozi mfano baba wa Taifa mwl.Juliua Nyerere.
Lakini kwa huyu...
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo...
Enyi wakurupuakaji na mnaosema kwamba CHADEMA inasema kura zimekwiba angalia kama mwenyekiti wa chama amesema lolote kuhusu hilo? Acheni kupaza sauti wakati hamjui wenzenu wanalozungumzia. Mbowe...
Mambo makubwa yanayotuathiri Watanzania:
Kwanza ELIMU, hii inafanya wananchi wengi kuamini siasa za porojo bila kujali ukweli halisia na hii itatupeleka pabaya kwa kuwa wengi tutafuata...
Na Saed Kubenea - Imechapwa 10 November 2010
MATOKEO ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yamejaa utata, MwanaHALISI limegundua.
Taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.