Tulisikia Mh. Spika wa bunge la Jamhuri wa Tanzania akisema kuwa wabunge hao wataapishwa mwezi wa pili kutokana na sababu ambazo hazieleweki, kwanza kabisa wabunge hao wametangazwa kuwa washindi...
Wana JF nimeamua nivunje ukimya wa kuzungumzia sakata la mvutano baina ya CUF na Chadema.
Katika kutafakari mambo ikiwa ni pamoja kuangalia ni wapi vyama hivi viwili vilikotika, vilipo sasa na...
Baada ya jana kutoka kwenye Bunge wakati JK alipotaka kuanza kutoa hotuba yake ya kuzindua Bunge, next move iwe kama ifuatavyo:
1. Wabunge wa Chadema bila kuathiri kanuni za Bunge wasiwe...
Michuzi anadai kikosi hiki kikosi ni dream team, je watanzania tutegemee kitu gani kutoka kwa viongozi hawa? sioni sura mpya hapa, mwendo mpya, kasi mpya..........
Nadhani kuna matatizo makubwa kwa washauri wa JK. Kama rais (wa NEC) anazungumza vitu vidogo na vilaini kuna haja ya kukaa bungeni na kumsikiliza kweli?
Anapozungumzia ujenzi wa vyuo vikuu...
From the beginning of multiparty system, majority of Tanzanian intellectuals and political analysts favor a two-party system, a political model predominant in the US and the UK. This political...
Many people including foreigners have viewed their views on Maalim Seif decision to concede defeat to Mohamed Shein. Majority of them praise Maalim Seif for his decion by showing that he is a...
Yesterday, CHADEMAs members of parliament walked out of the parliament building boycotting Kikwetes inaugural speech.
I have been following comments from different people within jamiiforums...
Development is about improvement not perfection cause there is no perfection in this non-perfect world. Katika JF tunategemewa kuwa great thinkers tusaidie policy makers kukaribia perfection ili...
Lile tone dogo la maji walilo anzisha wapiga kampeni wa chama cha mapinduzi mwaka 1995, wakaliacha lenyewe na kuliongezea mwaka 2000, sasa limekuwa kubwa na litaleta ghalika baada ya kulichochea...
When the presidents makes a statement it goes down with a huge impact 2 society.. Je ni kwel Tanzania kuna udini? Na kama upo,je ni kwa kiwango rais anachokishkia bango? Mbona yeye 2? Why? Je hal...
Marekani waipa pongezi kwa mabadiliko ya kisiasa Z'bar
Tuesday, 10 November 2009 07:07
SERIKALI ya Marekani imesema kuwa imefurahishwa na uamuzi wa CUF kuachana na msimamo wake mkali...
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA, 2010...
Huyu dogo siku zote alikua mstari wa mbele kuleta choko choko za muungano akishirikiana na bosi wake Rais mstaafu wa visiwani. Hii exposure anayopewa ya ulaji kwenye serikali ya JMT itasaidia...
Rais wa Watanzania milioni 5 ameahirisha Bunge kwa hotuba iliyojaa unafiki,majigambo,uongo na ahadi kemkem zisizotekelezeka hadi hapo Tarehe 8,Februari,2011.
Ukweli ni kwamba Hotuba hii imeacha...
Nilijaribu kufuatilia kwa ukaribu sana kampeni za uchaguzi lakini sikuwahi kuona wala kusikia jina la Kingunge kutajwa kati ya majina ya wagombeaji, sasa huyu mzee Dodoma kafuata nini? Nimeona...
Wana jf naombeni mnisaidie katika hili, hivi Tamko la Dk slaa kwamba Chadema haimtambui JK kama rais wa Nchi lina madhara yeyote kwa CCM au serikali iliyopo madarakani? na mimi kama mwana-CHADEMA...
Asante kikwete kwa kutukumbuka mana sisi tunaonekana wachache
Asante kwa kutuunganisha na kutuweka katika mamlaka ya juu
Sheni
Seif
Mohammed Gharib Bilal,
Shamsi Vuai Nahodha
Zakia Meghji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.