Tunafuatilia zaidi matokeo ya ubunge na urais lakini kwenye viti vya udiwani vijana wamefanya kweli tofauti na ilivyokuwa chaguzi za nyuma ambapo wagombea walikuwa wazee waliostaafu. Mpaka vijana...
Jamani nani ana habari za matokeo ya majimbo haya mwali? naommeni naona Kinana amesha-:israel:conclude ni majimbo 29 tu yameenda upinzani bara:israel::peace:
Habari nilizopata usiku ni kwamba kuna nyumba takribani tano zimechomwa maeneo ya Nguruka baada ya matokeo ya awalu kuonyesha NCCR-Mageuzi inaongoza kwenye kiti cha ubunge. Eneo hilo ambalo limo...
hali ya uwanja wa utetezi bungen inaleta raha usipime, jaribu kuvuta picha, huku mnyika, huku silinde, huku g, lema, huku wennje,hukku mh. mrII, huku shibuda,kona hii mbowe, kona ile salakana...
Katika halimisiyo ya kawaida CCM & CUF wameonekana mitaani wakishangilia ushidi kwa pamoja, hii inaokekana ni katika kuthibitisha maneno ya Maalim Seif kwamba ushindi ni wa wazanzibari wote.
Inasemekana kwamba Wangekuwepo wanachuo huenda Mnyika angeshindwa, hivyo Mnyika asijidanganye kwa huo ushindi maana hautoi picha kamili kwa jimbo la ubungo kwani halijashirikisha wapiga kura wote
Hawa jamaa walikuwa watano tu, vipi vywa bunge viliwaka moto!
mwelekeo wa sasa waonyesha upo uwezekano wakafika 100 (including viti maalum)
Lakini hebu pata picha hawa jamaa wakiwa 50 tu, pale...
Wadau CCM inaelekea ukingoni.Ushauri wangu mali zote ilizokua ikizimiliki si kihalali zitaifishwe na zirudi mikononi mwa serikali.Viwanja vya mip,majengo mbalimbali n.k.Hivi vitu vilijengwa na...
nakumbuka sheikh yahaya alisema mgombea na rais angekufa, lakini akageuza usemi akasema shibuda angekwisha kisiasa sasa leo unaona imekuwaje, naona huyu mzee MAJINI yake yamezeeka PIA :A S-baby:
Hivi kwa hii trend ya matokeo hasa upande wa uraisi, ccm na shingo yao (NEC) wanataka kututhibitishia nini: kwamba sisi watz ni mazuzu tunaochukua almasi feki na kuacha halisi au kwamba wao ni...
Habari nilizozipata hivi punde zinasema yule mpinzani wa Mpendazoe yamemkuta makubwa baada ya kubambwa live na maboksi ya kura feki.... Ameshasombwa na polisi na sasa yupo kituo cha polisi...
Taarifa kutoka Mbeya ni kwamba wananchi wameamua kuandamana kushinikiza kutolewa kwa matokeo ya jimbo la Mbeya vijijini. Wananchi wamekabiliana na askari katika eneo la Mbalizi, pia katika jengo...
Habari kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema mgombea ubunge kwa jimbo la Arusha Mjini Dr. Batlida anajipanga kufungua kesi mahakani kupinga matokeo hayo ya uchaguzi huo ambao umempa uwakilishi...
Source channel ten sas hivi
kwa taarifa zilizokamilika ni kuwa jimbo la biharamulo magharibi(chato)limechukuliwa na magufuli wa ccm,jimbo la biharamulo magharibi limechukuliwa na chadema,big up...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.