Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ahsante wananchi wa kawe kwa kuchuja pumba na mchele,huyu m/kiti wa nccr hakuwa mwanamageuzi ni mpiga debe wa chama tawala.....peopleeeeeeess p....r!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huenda wafuatao wakawa wakuu wapya wa baadhi ya wilaya baada ya CCM kumaliza kuchakachua Nakaaya Sumari Efraim Kibonde Flora Mbasha Dr. Batilda Buriani Philp Sanka Marmo Sekioni David Khadija...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wananchi wa Tanzania naomba niseme hivi,Yote yamekuwa Tunamshukuru mungu nachotaka kuwashukuru watanzania wenzangu nikuhusu usikivu,Busara,Hekima,Unyenyekevu, yote nikuonyesha watanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo niliyopata kutoka kwa watu wa karibu CCM huko Ukerewe Gerturde Mongela ameangushwa na Salvatory Machemli wa Chadema
0 Reactions
68 Replies
11K Views
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa KURA: CHADEMA - 66,743 CCM - 50,544 CUF -12,964
0 Reactions
347 Replies
29K Views
Mbunge wa Lindi mjini mheshimiwa mkuu wa Mkoa ameshindwa vibaya na mgombea wa CUF hivi sasa watu wapo mitaani
0 Reactions
58 Replies
8K Views
Ukisikia jina hilo la heahima hapa nchini Tanzania ...Muasisi wa CCM ...Lakini descendants wake wanajua hii sio CCM ile aliyoiasisi baba yao......Intelligent people thinks in this way ..hongera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hongera mdee. Nami nimesikia redio one. Chadema wabunge zaidi 20...good.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
unajua bw, ka swali la kizushi vile, ila ni kwamba vyama vingine vya upinzaini vimepoa sana, kama wanasapot ccccccm vile, kwa mfano jana, Mr. ssseeef kule zenji was so happy shein alvoshinda and...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamii tupeni kinachoendelea kwa nyimbo thomas,
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ofisi ya ccm iliyopo Nera (airport road) jiji la mwanza ikiungua moto katika harakati za watu kudai haki zao tarehe 01.11.2010. Katika nyumba hii ndipo katibu wa CCM alichomwa kisu na meya wa jiji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya aliyekuwa mbunge wa Mby vijijini kwa tiketi ya CCM ndg. Mwanjali kukataa kusaini matokeo ya uchaguzi kwa zaidi ya masaa 24 sasa, wananchi waliamua kwenda nyumbani kwake eneo la Iwambi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa ushindi huu, natamani vikao vya Bunge vianze kesho!!!! Hili ndilo Bunge la mseto wa ukweli. … Vijana, Wakulima, Wachungaji, Wanawake, Wafanyibiashara, Wazee, Wanaume, Wanamuziki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Soma hii attacment utangundua mbinu za CCM za wizi wa kura ikishirikiana na wasimamizi wa uchaguzi!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii, kunayeyote alie na talifa za Thomas Nyimbo! tupeni data
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida hapa UNGUJA wanachama wa CCM na CUF wameonekana mitaani wakishangilia ushindi kwa pamoja. Wanachama wa CUF wanathibitisha maneno ya Maalim Seif kwamba ushindi ni wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Musoma mjini - Vincent Nyerere- CHADEMA 2. Iringa mjini - Mch. Peter Msigwa- CHADEMA 3. Lindi mjini - Salum Halfani Barwani- CUF 4. Arusha mjini- Godbless Lema - CHADEMA 5. Mwanza...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Idadi ya kura za CCM katika uchaguzi huu ina represent jumla ya mafisadi na mambumbumbu wa Taifa hili. Endapo Chadema tutashinda kiti cha urais tutumie takwimu hizi kuwashugulikia mafisadi na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
..
Maneno ya Silaa kuhusu kila mpiga kura alinde kura yake yamesaidia sana kuliko kuwamini mawakala wetu,Phsycologically was a good idea,thats why we get a good number of wabunge despite of their...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom