Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
jamani hizi computer za kuhesabia matokeo mbona ndo inaelekea ndo tayari zimeshachakachuliwa? huyo IT kishoka alitoka wapi na katika tetesi zangu hao wanaozitumia kuhesabia hawana ujuzi nazo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana Jf nina mlaani kwa yeye kufanya jimbo hili lirudi mkononi mwa ccm. matokeo ya ubunge ni kama yafuatayo CCM 20,470 CHADEMA 8,056 CUF 5,833 Kwa mantiki hiyo ccm imeshinda kwa 58% na wana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kucheleweshwa kwa muda mrefu kutolewa kwa matokeo ya ubunge jimbo la Songea mjini,hatimaye Dk.Nchimbi atangazwa. Sina uhakika kama kura hazikuchakachuliwa kama sehemu nyingine.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Vijisenti vyetu na rushwa za mkewe vipi huko?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hodi humu mjengoni! Ukiangalia kwa haraka haraka na kujaribu kulinganisha, ni kama vile upinzani hasa (Chadema) umeweza kufanya vizuri katika maeneo mengi ya mijini na chama tawala kupata kura...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Kama kazi imekwisha hapo Ubungo Huyo sasa ni ndege wetu na Picha ya maendeleo imenijia machoni kwangu, HOJA BINAFSI NI KWAMBA Ujumbe wetu ni hakuna kulala. sasa majeshi yote twende kule Segerea na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wao walikuwa wa kwanza kusema tukubali matokeo,sasa mbona wao wanakuwa wa kwanza kukataa kusaini.Je aibu yetu aibu yao?peoplesssssssssssssss!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
TuJIULIZA Je: Tuipongeze serikali ya JK kuweka mazingira fiar kidogo na hivyo wapinzani kufanya vizuri mwaka 2010?. NB baadhi haya matokeo halali ya wapinzani kushinda yamekuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wananchi wenye Hasira Kali wameamua Kumruhusu Mheshimiwa Mramba kuhudhuria Mahakamani mara kwa mara bila kesi yake kuhairishwa tena kwa sababu za kisiasa. Wakitoa uamuzi huo Wananchi wameamua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mramba kashindwa, period, nasikia NEC wamethibitisha i am serious
0 Reactions
176 Replies
23K Views
Ndugu, mwenye taarifa yoyote na matokeo ya Ulanga Magharibi atujulishe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mwaka huu ni noma mafisadi wamechujwa naturally, kumbe wananchi wameamka wakiwekewa koroma hawalichukui
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani fuatilieni inasemekana katika majimbo 47 yaliyotangazwa inaonekana Kikwete wa kwanza, Lipumba wa pili na Slaa wa tatu!! I doubt I really doubt, I was one among the wakala's na Slaa na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chenge kabanwa koo na hataki kusign matokeo ya ubunge:sad:
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wadau Ubungo vipi, any updates???
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF nisaidie kwa hili; Inasemekana idadi ya viti maalum hutolewa na NEC kwa chama cha siasi, kulingana na uwiano wa jumla ya kura za urais na wabunge walizopigiwa wagombea wa chama husika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
yadaiwa mgombea wa chadema alitakiwa kupewa mil. 270 alikataa. baadaye inasemekana ujumbe kutoka kwa jk ulikutana na mgombea wa chadema na kumuahidi kumpa bil. 1.2 aachie jimbo akakataa
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwanza napenda Kuwashukuru watu wote waliokuja na Wazo la Kuanzisha Chama cha CHADEMA. Nasema hivyo kwa sababu katika Historia ya siasa za Tanzania,Ni Chadema pekee iliyoleta Mapinduzi Makubwa ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa kutoka karatu ni kwamba pastor israel ameshinda jimbo la karatu mjini chadema - 46 000+ ccm - 20 000 +
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Back
Top Bottom