Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nakupongeza sana kwa ushindi uliyoupata, kaza buti, mapambano dhidi ya ufisadi ndo kwanza yanaanza.
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Hatimaye msimamizi wa uchaguzi majimbo mawili ya maswa amemtangaza John Magale Shibuda na Kasulumbayi kuwa wabunge wa maswa magharibi na mashariki kwa tiketi ya Chadema
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Msanii mkongwe wa Bongo Flava MR II aka "Sugu" amekuwa mbunge wa Mbeya Mjini Tuesday, November 02, 2010 2:47 AM...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
wote OUT MAJIMBO YAO YAMECHUKULIWA NA CCM
0 Reactions
227 Replies
65K Views
Uwezekano mkubwa wa ICC kuwa busy zaidi mwakani ni mkubwa kwani NEC iko jikoni kuzalisha watuhumiwa wakiwemo NEC wenyewe! Hivi kubandika matokeo ya Urais kila kituo baada ya kupitiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napata tabu sana kuelewa hawa wagombea wa CCM ambao karibia wote wakishindwa wanataka kurudia kuhesabu au wanakataa matokeo tunajifunza nini kutoka CCM? kwamba wao huwa hawashindi kihalali? Au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani mmeona leo malori ya jwtz mengi yakibeba masanduku ya kura hapa na pale?mimi nimeona leo asubuhi mpaka usiku huu!nafikiri ndio yametoka ngerengere na hakuna mtu wa kuingilia jeshi.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu, Naona watanzania tumeamua kutumbukiza akili yetu kwenye imani moja ya ajabu. Imani kwamba matokeo ya vituoni yatatangazwa na kubandikwa vituoni lakini matokeo ya jumla Tume ndiyo yenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tutangazie halima wetu kashinda ,ama sivyo yatatokea ya shy
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Akihojiwa na Bongo Radio msemaji wa Joseph Mbilinyi a.ka Mr. Sugu(MB elect) ndugu G. Solo amesema kuna baadhi ya wasanii waliokuwa wakimpiga vita Sugu kwenye majukwaa ya CCM wameanza...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Hivi Hawa Redio One Wametumwa Na JK? Manake Wanatangaza Matokeo Walioshinda CCM tu. Kuna Harufu Ya Ufisi Hapa.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kaonyesha uungwana na ukomavu wa hali ya juu tumuunge mkono, kweli muafaka ulikuwa muhimu sana huko Zenji kwani tofauti ya kura ni ndogo sana.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Sijasikia lolote juu ya matokeo jimbo la Urambo kwa Mzee Samweli Sitta. Kulikoni? Au maji yako shingoni??
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau kama kuna mwenye updates pls
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna tofauti yoyote kwa walioshindwa urais aliyepata jumla ya kura laki moja na aliyepata milioni mbili in terms of women additional seats and ruzuku au ni kwenye jumla ya kura za ubunge?
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Wana jf mnaonaje tukitengeneza grouops kutembelea vijijini ili kutoa elimu ya uraia, na kuwa wezesha wananchi walio kosa elimu hiyo kuwa nayo, nadhani ndio yatakuwa mapinduzi ya kweli, ili raia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
muda mfupi msimamizi wa uchaguzi jimboni humo Bw Zuber Mbyana amemtangaza Dk Antony Mbasa wa CHADEMA kuwa mshindi kwa kupata kura 20828 dhidi ya 19843 za Oskar Mkasa wa CCM. Pia habari kutoka...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Jamani, hivi hawa mashabiki wa vyama (vyote tawala na upinzani) wanaoshinda kwenye ofisi za halmashauri au viwanja vya mpira ati kusingizia kulinda kura au kusubiria matokeo... Hivi hawa hawana...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
:thinking::thinking: Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina! Jamaa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom