Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hakika inauma sana kuona damu ikimwagika, tena ikimwagika bila hatia kwa sababu ambazo zinaweza kabisa kuzuilika. Ninalazimika kusema havyo kwa sababu ya yale yaliyotokea Tandika, Tarime, Mbeya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba matokeo ya Mkoa wa Kigoma, mbali na Zitto Kabwe, wengine wamefanyaje? Leta raha wenye taarifa kamili, please:israel:
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Tume ya Uchaguzi znz (ZEC) imetangaza kuwa itatangaza mshindi wa Urais Zanzibar sasa hivi (8:30pm) usiku huu. Hadi hivi sasa, SHEIN wa CCM anaongoza kwa 61% ya kura. Yamebaki matokeo ya majimbo 6...
0 Reactions
139 Replies
12K Views
  • Closed
Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni Kituo A chadema 140, ccm 33, Kituo B chadema 115, ccm 15. Nita-update mara nipatapo matokeo mengine. Pia, vijana...
0 Reactions
99 Replies
13K Views
Jamani Mbeya bado hakijaeleweka, Wadau huko mbeya tupe habari vizuri!:sad:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wana jamii forums ninachukua nafasi hii kuwataarifu kwamba,mbeya maeneo ya mwanjelwa vurugu zimeanza mara baada ya wananchi kuchoka kusubiri matokeo. Maeneo ya mafiat magari hayatembei...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
shughuli haikuwa nyepesi wana JF kwani imetuchukua zaidi ya masaa 7 kuccomand matokeo yawe released na kuhakikisha kuwa hakichakachuliwi kitu.. mbunge wetu Msigwa ( CHADEMA -iringa mjini )...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jimbo la Ilemela nalo limeenda CHADEMA. Kura HALISI: CCM: 26,870 CHADEMA: 31,000+
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Niko usawa wa mita 200 kutoka office za manispaa ya arusha kwa mda wa masaa mawili sasa. Hali ya hapa si shwari kwani kuna tetesi kuwa lowasa amefika na kufanya kikao na mgombea wa chadema. Kwa...
0 Reactions
250 Replies
24K Views
rostam aziz amechakachua uchaguzi wetu wa 2010.. he is the listed man on earth.........
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Katika hali ya kutatanisha, kuna tetesi kutoka makao makuu ya NEC yanayohashiria kwamba, Hawa jamaa wamepita, lakini bado hawajatangaza rasmi, hebu wenye taarifa kamili watumwagie. Hii itakuwa ni...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Mwanza wapigwa mabomu Temeke warushiwa mabomu Mabomu yarindima Kigoma Magu watawanywa kwa mabomu Kigoma mabomu yatawala Arusha warushiwa maji ya upupu Mbeya mabomu nje nje Shinyanga hakukaliki kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CCM watetea jimbo la Dodoma mjini.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
kwa mujibu wa mlimani tv mbowe ameshinda tumeishatangaza. pipozzz power
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa hasira ya sintofahamu inayoendelea,wananchi wameamua kufunga barabara ya Moshi Arusha. Hakuna kwenda wala kutoka Moshi. Pikipiki zimelazwa barabarani. Na wabaki na matokeo yao.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
CCM wamejikongoja wamemaintain jimbo la babati mjini CCM: 13506 CHADEMA: 9899
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JK Yuko ndani ya MWanza kumuokoa Masha amienigiea leo asubuhi na Masha sasa sijui imekaaje hiyo
0 Reactions
122 Replies
13K Views
Kamanda Ngongo leo umefanya kitu ambacho kama kwa Bahati Mbaya Batilda angetangazwa Mshindi basi Roho ya Mh Lema (Mb) ingekuwa kwenye Hatari sana Fitna Uliyomzushia Ng Lema kwamba Ameuza Ubunge...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wana JF vip kuhusu Bagamoyo? Mwenye data tafadhali
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kweli mumekubaliana kuwa na maridhiano... tunatamakani kwenye sherehe za Kitaifa tusione sara za CCM au vyama vyenu bali nembo za Kitaifa.
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Back
Top Bottom