Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kupitia matangazo ya moja kwa moja toka BBC inaonesha sehemu nyingi kuna ugumu wa kutoa au kutangaza matokeo rasmi achilia mbali yale ya awali. Hivyo watu wamekusanyika wakifikiri kuna njama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani eeeh matokeo ya uraisi vipi? Mbona hakuna anayeyazungumzia? Maana kila mtu kajikita kwenye ubunge...kwa nini ya uraisi hayazungumziwi wala kutolewa?
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Jana usiku nilisikis channel ten ikionyesha ushindi wa dewj singida mjini,ila nimefurahishwa kwa chadema kupata asilimia karibu 30!% huu ni mwamko mkubwa kwa wanasingida kuacha ushamba wa kutafuta...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wazanzibari anzeni kusherehekea ushindi wa M.Seif: M.Seif apata 50.06% Dr.Shein:47.30 Asalamu alaykum haya ndio matokeo tulioyapata kutoka kwa tume ya uchaguzi: JIMBO KUTOKA PEMBA JIMBO LA OLE...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
  • Closed
wanaenda zanzibar kufanya nini kama si kuleta vurumai. jamani amani inataka kutoweka. Uwiiiii Uwiiiii. Tupige mayowe mpaka mafisadi tuwatoe.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau wenye data za Morogoro vijijini tujuzeni plz, vp Prof. Mlambiti anaendeleaje huko?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa jinsi NEC wanavyozidi kuchelewesha matokeo naanza kupata picha ya uchakachauaji wa matokeo. As a result tunaweza shuhudia uchaguzi ambao utaibua kesi nyingi sana za kupinga matokeo. Nahisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chondechonde viongozi wa ccm tumieni busara kupokea matokeo ya uchaguzi ili kuepusha vurugu zisizo za lazima. kwa nini hamuamini kwamba wananchi wamewachoka. kubalini matokeo nchi ipite kipindi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
naona kimya... huko!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani wadau wa jf,naitaji kujuwa hatima ya mwanasheria wetu chadema mwana dada halima mdehe kawe mambo yamekwendajee? mapinduziii daimaaaa
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wasimamizi wa jimbo la ubungo walalamika kwenye ITV hawajalipwa posho mtafaruku mkubwa walibebwa kwenye Gari la Taka WaMENGOME MATOKEO MAMBO SI SHWARI.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wawakilishi wa BBC wakihojiwa kutoka sehemu mbalimbali wamesema vijana wengi na wanaume ndio waliojitokeza ikilinganishwa na wanawake. Baadhi ya sababu zilizotolewa na wanawake ni kukatishwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za uhakika baada ya Dialo na Masha kumwagwa vibaya na CHADEMA JK ashukuka kisiri usiku hakuna ajuaye kafuata nini. Yuko Bugando kumuona swaiba wake Masha aliyelazwa baada ya mshtuko mkubwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CCM yafanya kufuru Muheza Send to a friend Monday, 01 November 2010 11:20 0diggsdigg Steven William, Muheza CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuchelewesha kutangaza matokeo katika mikoa hiyo ni dalili za wazi kuwa CCM wanataka kuchakachua. Wananchi wamepata hasira sana mpaka sasa, wanaonekana wapo tayari kwa lolote, iwapo FFU...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Yule Baali wa pale magomeni inasemekana anasakwa na baadhi ya Wagombea udiwani na Ubunge wa CCM kwa kuwatapeli. Inasemekana aliwaahidi kuwa wangeshinda na kama kuna hali mbaya basi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
naangali itv mwandishi anaripoti polisi maswa mashariki wanamshikilia mtu mmoja aliyekutwa kapiga kura tatu za uraisi,3 ubunge,3udiwani ambazo amekamatwa nazo. Baada ya kuhojiwa amesema...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Sasa hivi nimetoka kuongea kwa simu na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Mhandisi Humphrey Abraham Tuni juu ya mwenendo wa kura kaniamba "it is too close to call..." na bado wanakusanya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom