Kupitia matangazo ya moja kwa moja toka BBC inaonesha sehemu nyingi kuna ugumu wa kutoa au kutangaza matokeo rasmi achilia mbali yale ya awali. Hivyo watu wamekusanyika wakifikiri kuna njama...
Jamani eeeh matokeo ya uraisi vipi? Mbona hakuna anayeyazungumzia? Maana kila mtu kajikita kwenye ubunge...kwa nini ya uraisi hayazungumziwi wala kutolewa?
Jana usiku nilisikis channel ten ikionyesha ushindi wa dewj singida mjini,ila nimefurahishwa kwa chadema kupata asilimia karibu 30!% huu ni mwamko mkubwa kwa wanasingida kuacha ushamba wa kutafuta...
Wazanzibari anzeni kusherehekea ushindi wa M.Seif: M.Seif apata 50.06%
Dr.Shein:47.30
Asalamu alaykum haya ndio matokeo tulioyapata kutoka kwa tume ya uchaguzi:
JIMBO KUTOKA PEMBA
JIMBO LA OLE...
Kwa jinsi NEC wanavyozidi kuchelewesha matokeo naanza kupata picha ya uchakachauaji wa matokeo.
As a result tunaweza shuhudia uchaguzi ambao utaibua kesi nyingi sana za kupinga matokeo.
Nahisi...
Chondechonde viongozi wa ccm tumieni busara kupokea matokeo ya uchaguzi ili kuepusha vurugu zisizo za lazima. kwa nini hamuamini kwamba wananchi wamewachoka. kubalini matokeo nchi ipite kipindi...
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi...
wasimamizi wa jimbo la ubungo walalamika kwenye ITV hawajalipwa posho mtafaruku mkubwa walibebwa kwenye Gari la Taka WaMENGOME MATOKEO MAMBO SI SHWARI.
Wawakilishi wa BBC wakihojiwa kutoka sehemu mbalimbali wamesema vijana wengi na wanaume ndio waliojitokeza ikilinganishwa na wanawake.
Baadhi ya sababu zilizotolewa na wanawake ni kukatishwa...
Habari za uhakika baada ya Dialo na Masha kumwagwa vibaya na CHADEMA JK ashukuka kisiri usiku hakuna ajuaye kafuata nini. Yuko Bugando kumuona swaiba wake Masha aliyelazwa baada ya mshtuko mkubwa...
Kuchelewesha kutangaza matokeo katika mikoa hiyo ni dalili za wazi kuwa CCM wanataka kuchakachua. Wananchi wamepata hasira sana mpaka sasa, wanaonekana wapo tayari kwa lolote, iwapo FFU...
Yule Baali wa pale magomeni inasemekana anasakwa na baadhi ya Wagombea udiwani na Ubunge wa CCM kwa kuwatapeli. Inasemekana aliwaahidi kuwa wangeshinda na kama kuna hali mbaya basi...
naangali itv mwandishi anaripoti polisi maswa mashariki wanamshikilia mtu mmoja aliyekutwa kapiga kura tatu za uraisi,3 ubunge,3udiwani ambazo amekamatwa nazo. Baada ya kuhojiwa amesema...
Sasa hivi nimetoka kuongea kwa simu na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Mhandisi Humphrey Abraham Tuni juu ya mwenendo wa kura kaniamba "it is too close to call..." na bado wanakusanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.