Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
:peep: Ni masikitiko makubwa kwamba bado watu wanafikiri mbinu za kuchelewesha matokeo zinaweza kusaidia katika zoezi la kuchakachua kuza 2010??? jamani watu wameamka uzingizini acheni umma uhamue...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejaribu kupitia blog ya HAKINGOWI, amejaribu kuweka matokeo ya Urais kutoka katika majimbo kadhaa na inaonesha CCM wanaongoza kwa kishindo, lakini baadhi ya wanachama wa CUF inaonekana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Vitabu 12 vimepotea, chnzo cha vurugu ndio hizo. Jamani CCM wanataka nini kwa wananchi vitabu vinapotote vipi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari kutoka Mwanza kuwa Dialo kakubali kusign matokeo so Mwanza CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Hali ya usalama ni tata watu wanalinda kura zao
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kuna mtu ana habari za jimbo la Mbowe?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Break News hali ya znz hivi sasa sio shuari Wafuasi wengi wa cuf wanazidi kuongezeka Bwawani wakiilalamikia Tume kuwa mshindi wa urais apewe haki yake sio zulma Kwa takuimu za majumuisho...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
mbona jamma wanataka kuchakachua jamani
0 Reactions
0 Replies
897 Views
naona kimya... vipi huko!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanya kufuru katika jimbo la Muheza baada ya kuzoa viti vyote vya udiwani vya jimbo hilo, huku vyama vya upinzani vikiambulia patupu. Matokeo hayo yametangazwa jana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Bila kujali nani atachukua kiti cha urais, bila kujali ni chama kipi kinaongoza nchi, bila kujali kama mimi au wewe tunashikilia kadi za CUF, CCM, Chadema, NCCR, au TLP; leo, Novemba Mosi 2010...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani, UDIWANI, UBUNGE si dili sasa, DILI ni URAIS. Hebu wenye taarifa ya jumla yote toka kwenye vituo vyote hata kama haijathibitishwa na tume, WAIMAGE HAPA. TV wanaboa tu, story zao za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa miaka mingi taifa hili limekuwa likisubiri mabadiliko na uwenda hata wale walitabiri leo hatupo nao lakini leo ninafuraha kubwa kuwa mapinduzi ya kisiasa ktk siasa za taifa la Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWA TAARIFA TU NI KUWA LEMA AMESHINDA Lakini kinachoendelea ni kutaka kumpoka ushindi. Nawafahamisha Watanzania kuwa iwapo Batilda atatangazwa mshindi wa Ubunge Arusha mjini mjue kabisa kuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ASUBUHI YA LEO NIMEANGALIA MATOKEO YA KURA KATIKA TV PALE MANZESE NIKASHTUKA KWAMBA:- 1. KITUONI WALIJIANDIKISHA WATU 480 LAKINI WAMEPIGA 132. 2. KITUO KINGINE SIKIKUMBUKI JINA WAMEJIANDIKISHA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Comments za Mjengwa hizi hapa IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA! Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kulikoni huko Bariadi magharibi? Updates please.... Bariadi mashariki ni Cheyo country hiyo....haiendi kokote zaidi ya UDP.....
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Despite CCM touting a five million strong membership electoral ironclad, the untold truth was most of those CCM zealots had either unofficially decamped to the opposition or were too disgruntled...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naomba mnijuze kuhusu Jimbo la Singida Kusini kule kwa mwaharakati wa Haki za Binadamu na Masuala ya Mazingira!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Monday, 01 November 2010 11:44 Kwirinus Mapunda, Tunduma MTU mmoja anayesadikiwa kuwa ni Mwanachama wa Chama cha CUF Mussa Bakari (27) amefariki gafla usiku wa kuamkia Novemba 1 mwaka huu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom