Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu, kumekuwa na posts nyingi kuhusu mwenendo wa Upigaji kura. Hii inasababisha tunashindwa kufuatilia matukio vizuri. MODS wamesaidia kidogo katika hili. Ukiingia katika Forum ya UCHAGUZI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia tetesi kuwa inawezekana kwa mtu kupiga kura ya urais mahali popote hata pale ambapo hajaiandikisha, je swala hilo lina ukweli kiasi gani? Wenye taarifa sahihi mtujulishe jamani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani mbona JK hakuwashukuru riziwani na miraji jana pale Janngwani? Alimshukuru mke wake tu. Au aliogopa usemi wa BMW (baba, mama, watoto)? Halafu alikumbushia siasa za majitaka kwa kusema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wandugu jana iringa ilitawaliwa na maandamano makubwa ya chadema, mji mzima ulijaa furaha huku watu wakiimba mafisa hatuwataki na kuwaacha wafuasi wa ccm hoi.picha kutoka francis godwin.blogspot.com
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna habari zinaingia sasa hivi kuwa mji wa Mbeya umekatiwa umeme/umeme umekatika. Hata kama ni hali ya kawaida (kama tunavyojua) lakini yaweza kusababisha manung'uni yenye kuhusisha hilo na...
1 Reactions
24 Replies
251K Views
Wakuu, Najua ufungaji wa JK mmeuona kirahisi na huko Mbeya hamkufanikiwa kujua kwa ukaribu kilichojiri kwa video au picha. Hizi ni baadhi ya picha nilizozinasa nawakilisha Gari la Polisi la...
0 Reactions
95 Replies
15K Views
Wana JF, kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu mkutano wa CCM viwanja vya Jangwani? Tunaomba taarifa
0 Reactions
220 Replies
18K Views
Tarehe kama ya leo, 31-10-2007, miaka mitatu iliyopita gazeti la Raia Mwema lilianzishwa, miaka mitatu ya gazeti hili limechangia kwa kiasi kikubwa katika mchakato wa mageuzi ya kisiasa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu waheshimiwa,Wakati nikijipanga kupiga kura yangu siku ya tar 31, nimekuwa nikiangalia hali ya hewa ili mtu asijesingizia hali ya hewa ilikuwa mbaya na hakujua. Mpaka sasa inaonekana kuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mi naskia raha isiyo kifani kwa siku hii njema... Jumapili ilo njema kwetu watanzania.... Siku tuloisubiri kwa hamu na kwa uwezo wa mola imeingia.... Amkeni kaka na Dada inukeni vitandani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Wadau, Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayoendelea katika forum hii. Nataka kutoa changamoto kwa wadau wenzangu ili tujadili swali lifuatalo: Je, ni mtanzania gani ana SIFA na VIGEZO vya...
0 Reactions
625 Replies
70K Views
Usiku wa leo na mchana wa kesho ni siku ambayo CCM inapitisha na itapitisha unyama wa aina yake wa kutumia hila zao walizozitayarisha kwa ajili ya kupora uchaguzi. Hivyo wananchi wale wote ambao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Jamani hii imekaaje? KP noma.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana JF na wa Watanzania wote, leo ndiyo siku ambayo tumeisubiri kwa muda mrefu. Ni siku muhimu sana katika mapambazuko mapya ya nchi yetu. Nawaomba kila mmoja wetu ambaye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Makamanda wa PCCB huko Bariadi wamemkamata mke wa Andrew Chenge aitwaye Tina kwa tuhuma za kugawa hongo ya Sh5,000 na kanga kwa wapiga kura katika vikao vya siri alivyokuwa anavifanya. Source...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WAZIRI Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Ahmed Salim, amemmwagia sifa mgombea wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk. Jakaya Kikwete, kuwa ana nia ya dhati ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Whats up jf world? The time for talk is up, now its time for some action. So who ya got? Slaa or kikwete? Me yours truly here im picking kikwete to win handily albeit i hate ccm's guts. Let me...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom