Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hawa jamaa wa kijani walikuwa wanasafirisha watu kuwasikiliza, sasa sijajua kama watawabeba kesho au?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ikiwa ni tayari saa 6 usiku na ni tarehe 31 october 2010. Ni siku iliyosubiliwa kwa hamu kubwa ili watanzania wafanye mabadiliko makubwa. Mabadiliko yatakayo kumbukwa na vizazi vijavyo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huu ni Usia wa Mwisho kwa Chadema... Nawataarifu tu kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa Kikwete kushinda uchaguzi huu ikiwa Chadema watazembea ktk kuweka wasimamizi sehemu ambazo wao...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani katika mahojiano ya wagombea uraisi watatu JK,Slaa na Lipumba haya ya JK ndo yalikuwa yanaboa sana JK badala ya kujibu maswali anaanza kutoa historia.Kweli he is the OUTGOING PRESIDENT
0 Reactions
6 Replies
2K Views
My fellow countrymen, the time to make a wise choice has arrived. Please don't repeat the same mistake again [we'll never get this chance again!!!!!]. Vote for change this time. To paraphrase...
0 Reactions
2 Replies
925 Views
Jamani niambieni, JK kajibu nin? Kweli huyu jamaa anauwezo wakuongoza nchi? Kibonde kashindilia msumali. Ndie maana kumbe alikataa debate na Slaa & Lipumba. Nafungua mjadala
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Mkurugenzi wa TAMWA Bi Ananilea Nkya, leo katika Jambo tanzania amfagilia Regia kuwa ni mdada wa maono, anatoa upinzani mkubwa huko jimboni.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Magale Shibuda amezuiwa kugombea ubunge. Wenye taarifa plz tujulisheni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mkuu kesho ni upigaji kura jamani kwa maendeleo ya Taifa kwa miaka mitano,kura yako ni mhimu sana kufanya mabadiliko ya Tanzania yetu yenye malengo mazuri na wananchi wake, CHAGUA CHADEMA kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu ambao hamjawa converted kumpigia kura dr. Slaa (yaani bado mnadhani mtampa kura zenu Kikwete) jiulizeni maswali haya kumi. Una maisha bora? Wezi wa EPA wamepatikana? Amekutajia wale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
It is the style of deliveries of their speeches that separated the two wolves from the sheep and I must say Mzee Mwinyi is a truly an exemplary statesman deserving all to emulate........He had...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna mambo mengi yanasemekana yamepangwa ili kura ziibiwe! Naomba kama kuna dalili huko mtaarifu. Katika gazeti la msemakweli jana tulipewa namba ambayo tunatakiwa kutumia kutoa taarifa kama kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Friday, October 29, 2010 Mchakato wa kuapishwa kwa mawakala Jimbo la Singida Mashariki-Uchakachuaji ukatishao tamaa Jana nilikuwa kwenye mchakato wa kuapishwa kwa mawakala watakaosimamia na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
alikuwa hapa itigi jimbo la manyoni magharibi mbalo lina ushindani mkubwa sana na ni wazi ccm inapumulia mashine,akiwa anawaomba watu wampe kura mgombea wa ccm bwana lwanja watu wakamwonyesha...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Rais JK... nilipokusikiliza asubuhi ya jana redio Clouds nilipata tabu sana kufuatilia maongezi yako hasa kutokana na sauti ya uchovu na kigugumizi kishichokwisha... kusema ukweli si kwa nia mbaya...
0 Reactions
107 Replies
8K Views
CCM inakiuka miongozo ya katiba yake, ikiwa ni pamoja na mwongozo wa Azimio la Arusha na Siasa ya TANU juu ya Ujamaa na Kujitegemea, kama ifuatavyo: MISAADA NA MIKOPO VITAHATARISHA UHURU WETU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Itahesabika kuwa imeharibika ikiwa karatasi ya kura iliyohesabiwa itatobolewa na office punch? ikiwa ni la nadhani kwa wale wanye uwezo wa kupata kitoboleo karatasi itawazuia wachakuaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya ni maneno ya Benjamin Wiliam Mkapa, ambaye aliendesha kampeni za vitisho zilizowakatisha Wananchi tamaa ya kutokea mabadiliko ya uongozi. Kwa sehemu kubwa sasa katitika kampeni ambazo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wana JF,Ndugu wafanyakazi na wale wote wanaowategemea, kesho ndiyo siku tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu ya kumdhihirishia Kiwete kuwa Wafanyakazi si watu wa kubeza,kudharau,kutukana na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MAELEKEZO YA KUOIGA KURA YA RAIS. Ukipewa karatasi, ANGALIA PALIPOANDIKWA DR. SLAA AU ALAMA YA VIDOLE VIWILI, TIA TIKI HAPO. UTAKUWA UMECHAGUA RAIS MAKINI. TUMA KWA WATU 20
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Back
Top Bottom