Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
HEAVEN OR HELL................. While walking down the street one day a Corrupt Senator was tragically hit by a car and died...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtikisiko Uchaguzi Mkuu • CCM yadaiwa kuandaa mipango ya kuvuruga uchaguzi na Mwandishi wetu WAKATI zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Jumapili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NIMEICHOTA BARUA PEPE KAMA ILIVYO:: Kama hii ni kweli basi huo ndio mkakati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tetesi za mmiliki wa Kiwira kufunga kampeni za CCM zimetawala jiji la Arusha na maswali mengi wananchi wanajiuliza juu ya Mheshimiwa huyu Rais Mstaafu naye saa hizi za majeruhi anatafuta nini kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kulingana na Mjadala maarufu alio toa Dr Slaa Jioni ya leo ni wazi kuwa Mgawanyiko mkubwa wa Kijamii kwa Watanzania umesababishwa na UFISADI MKUU ambao Dr aliwahi kuwataja wahusika vinara KUMI na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jana jioni maeneo ya Mwadubi Wilaya ya kwimba jimbo la kwimba yamekamatwa mabox ya kupigia kura. Habari za uhakika kutoka kwa Mgombea wa Ubunge Letty Nyerere amesema wamekamata masanduku mawili na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tetesi hizi zinajengwa na hoja kuwa CCM wanasisitiza kuwa watapata ushindi wao kwa zaidi ya asilimia 80. Ushindi huu lazima upatikane kwa haki au hira kwa maana ndio utakaowawezesha kuunda...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za uhakika nilizozipata mida siyo mirefu, hatimaye South Africa wametufutia visa watanzania. Hivyo kama una shughuli za Holyday, Busness, Transit - No Visa required. Mwenye more info...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Na Kamarade wa Kamarade Katika mazingira ya sasa ambapo dunia imelazimishwa kuamini kuwa kuna tofauti ndogo sana kati ya Uislamu na Ugaidi, ninaingiwa na wasiwasi sana na hatua ya Dr Slaa...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Ndugu wana Jamii forum Je huu ni uungwana kwa vitendo vya CCM kuwatendea wananchi? fuata hiyo link Documentary
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Nilisimuliwa kisa cha mbayuwayu ambaye alikuwa anaishi katika shamba la Mkulima mmoja huko Ukwereni. Mbayuwayu huyo aliishi na wenzake katika maisha ya kutegemea nafaka na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni wazi ya kua wasomi wengi walioko katika post mbalimbali za serikali wanaogopa kujihusisha na siasa ili kulinda post zao na kuhofu kuhusu post zao hivyo wengi wao wanaamua kukaa kimya au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni ukweli usiopingika ya kua CCM katika uchaguzi huu itashindwa.Nini cha kufanya kwa CCM na JK kubalini matokeo ya uchaguzi na kuipa CHADEMA na Dr.Slaa atuongoze na baada ya miaka mitano mtapata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania inaongoza kwa kutoa misamaha mikubwa zaidi ya kodi ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika Mashariki pamoja na bajeti yake kuwa tegemezi kwa misaada ya nje kwa zaidi ya asilimia 30...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tamaa ya uongozi na idadi kubwa ya ahadi zisizotekelezeka Na Juma Kidogo Ni siku na wakati mwingine tena tunakutana ndugu zangu wapendwa katika ulingo huu wa siasa ili kujadili mambo...
0 Reactions
0 Replies
952 Views
Tamaa ya uongozi na idadi kubwa ya ahadi zisizotekelezeka Na Juma Kidogo Ni siku na wakati mwingine tena tunakutana ndugu zangu wapendwa katika ulingo huu wa siasa ili kujadili mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuanzia jana na leo asubuhi ninaendela kukagua vituo vya kupiga kura hapa Arusha mjini na nimebaini ya kuwa NEC haimthamini hata chembe mpigakura. Makaratasi yenye majina ya wapigakura yamezagaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Age 40yrs and below wengi wetu hatuoni majina yetu katika vituo vya kupigia kura. tufanyeje?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nafahamu kwamba leo ndo mwisho wa kampeni na kesho hakuna hata anayeruhusiwa kuvaa au kupeperusha bendera ya chama chochote ktk kituo cha kupigia kura. Ktk kampeni hizi CCM imetundika mabango...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom