KARATASI YA KUPIGIA KURA-NI SIRI?
kabla ya mtihani wa kumaliza shule huwa kuna Mock exams,hii inamuandaa mwanafunzi kujua mtiahani utafananaje etc,pia kuna past papers,hii pia inajenga uzoefu wa...
AHADI zinazotolewa na baadhi ya wagombea uongozi nchini katika kampeni zinazoendelea za uchaguzi mkuu zikitekelezwa, huenda zikawaweka Watanzania pabaya, imebainika.
Taarifa ya kitaalamu...
Freeman Mbowe amejipendekeza mikononi mwa vijana mahiri wa CCM na kupewa kichapo havi hadi kupoteza fahamu leo Masama Hai.Hali hiyo imepelekea mkuu huyo wa CHADEMA kuwahishwa USA through Pretoria...
habari ambazo zimelifikiadawatila hatudanganyikikutoka ofisi ya waziri mkuu zinzonyesha kwamba wasimamizi wauchaguzi katika majimbo yaani wakurugenzi wa halamashauri za wilaya, miji na manispaa...
Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombe wa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla...
Kuna mzee mmoja kada wa CCM nilifanya naye mazungumzo kidogo kuhusu chama chao.
Nikamuuliza swali: "Kwa nini mumekubali Kikwete agombee tena Urais mwaka huu wakati amevuruga nchi na haaminiki...
Nimepata taarifa kuwa mheshimiwa Dr.Slaa amemaliza kuhutubia mkutano mkubwa wilayani maswa akijumuisha majimbo mawili ya Maswa Mashariki kwamgombea John Shibuda na Maswa Magharibi kwa Kasulumbayi...
Wakuu, leo nimeisoma hii (a bit delayed though) kuhusu majengo yetu mapya ya wamachinga pale Karume... Kwa kweli ni masikitiko sana kwa ripoti hii walioyotoa kuhusu majengo husika.
Maswali yangu...
Mkutano wa kampeni ndio umemalizika hapa Himo Makuyuni na mgombea wa CCM Crispin Meela ametangaza kuwa mgombea wa TLP amemfuata leo asubuhi na wamekubaliana kuwa mzee wa kiraracha hatagombea...
Macho mnayo ila hamuoni.
Masikio manayo ila hamsikii.
Midomo mnayo ila :tape:.
Laiti mngalijua nguvu ya Kura mnayoichezea, msinge wasikiliza waliobadili maudhui ya chama tunacho kifahamu sote...
dalili zinaonyesha mambo sasa yameiva na muda umefika...toka jana makaratasi ya kupigia kura yameanza kusambazwa kwenda kwenye mikoa mbalimbali yakitokea bohari kuu ya serikali, hali ya ulinzi ni...
For all the remarkable campaign Dr. Slaa has done,with the changes we(Tanzanians) are eager to make and with efforts of newspapers well wishers from and outside tanzania can and ONLY spoiled by...
Kuna hii taarifa ya mwaka ya World Economic Forum inaonesha viashiria muhimu vya uchumi kwa Tanzania. Kwenye vikwazo vikubwa vya kufanya 'business' cha kwanza kabisa 'corruption'. JK na CCM...
Jana usiku nimepata message kupitia namba yangu ya tiGo ikinitaka nimchague mgombea wao Kikwete kwa sera nzuri za CCM. Nilishtuka sana na kujiuliza wameipata wapi namba yangu. Nilipolala nikaota...
Wadau,
Nimetoka kuingia katika website ya NEC ambapo nimeweka nambari yangu ya mpiga kura na kuweza kupata online status ya wapi kituo changu kinapatikana. Taarifa niliyoipata kwenye web pamoja...
what goes around comes around!kutokana na kichwa kikubwa cha habari leo kwenye gazeti la umma habari leo kusema"ahadi za slaa hazitekelezeki",napendekeza pia kesho waandike ahadi zifuatazo za...
ili kumuenzi Jakaya Mrisho Kikwete ningependekeza raisi mtarajiwa akipe chuo cha Saana Bagamoyo Jina la Jakaya Mrisho Kikwete International College on Cultural and Entertainment, na kuongeza...
JK amesema CCM watashinda uchaguzi na kuendelea kushika dola baada ya kufanya tathmini wakati akizunguka nchi nzima kwenye kampeni kwa sababu wanakubalika(Mwananchi 20 Oct. 2010). Tathmini yake...
nasema ushauri kwa chadema maana ndicho chama hapa bara ambacho kinawatia wasiwasi cccm na kinawindwa kila kukicha,
taarifa za tetesi nyingi zilizokwisha fikishwa hadi sasa juu ya hujuma za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.