We're polite and progressive by day,
more tribalist than even the Kenyans by night
By Jenerali Ulimwengu, The East African,
Monday, October 18 2010
Further to my take on the creeping...
Kila mpenda MABADILIKO afanye kwa sehemu yake, wale tutakao weza tuhakikishe tunasimama kama mawakala wa CHADEMA, na wale tuliopata nafasi ya usimamizi naomba tukalinde kura za Slaa, Ushindi ni...
Mbinu chafu za serikali zashindikana Mwanza, idadi kubwa ya wananchi wa jiji la Mwanza jana walienda uwanjani kusikiliza sera za CHADEMA baada ya jeshi la polisi kuwarushia raia mabomu 8...
Ndugu Watanzania wenzangu mnaoipenda nchi yetu, naomba wote kwa pamoja tufunge mikanda kuelimisha watu fulani ambao inaonekana mawazo yao ni ya zamani sana na inaonekana elimu waliyoipata...
By JENERALI ULIMWENGU
October 10, 2010
Murphys law states that anything that can go wrong will go wrong.
All of a sudden, it seems there are now just too many things that can go wrong in...
Habaar zenu Wana JF
Nimetafakali sana na kujua kwa nini Vijana wengi hawatapiga KURA kutokana na HUJUMA za Tume ya Uchaguzi. Yaliyotokea kwa Vijana wa Chuo Kikuu yanareflect vijana wengine wengi...
Hivi ni lini hospitali zetu zitakua na vitanda vya kutosha jamani?mabango ya kampeni kila kona wakati huu lakini maisha ya binaadamu hawayaangalii. Oooh tanzania weeeee,nani amewaroga viongozi wako
Uvumi ulioenea jana kuwa kuna lori lina makaratasi ya kupigia kura Tunduma, kama kweli si za kweli basi huenda hizi zikawa ni mbinu nyingine chafu dhidi ya Dr Slaa..
Wanajua kuwa Dr Slaa hana...
AHADI zinazotolewa na baadhi ya wagombea uongozi nchini katika kampeni zinazoendelea za uchaguzi mkuu zikitekelezwa, huenda zikawaweka Watanzania pabaya, imebainika.
Taarifa ya kitaalamu...
Huyu ni mtanzania wa pili baada ya Nyerere kuchukia ufisadi kwa vitendo. Ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania kwa vitendo. Ni Dr. Slaa aliyesimama na kutaja majina ya wala rushwa...
Kuna uvumi unaenezwa kwa watu kuwa iwapo umepokea rushwa/takrima toka ccm alafu ukawasaliti kwa kuwapigia kura wapinzani.Eti iyo karatazi ikipelekwa kwa computer itaonyesha iyo tick ilikuwa ya...
Mwanasaikolojia maarufu nchini Marekani aitwaye Phil McGraw aliwahi kusema kwenye mada zake tuwe waangalifu sana na watu wanaojibu hoja ambazo wala hawajaulizwa.
Alisema mtu anapoanza kujibu...
Urafiki wa muda mrefu baina ya Godbless Lema na Mawazo Alphonce umefikia hatua ya kutishiana kumalizana kisiasa.Ikumbukwe Lema na Mawazo walikuwa wanachama wa TLP kabla ya kujiondoa na kujiunga na...
Siku chache niliandika hata mwezi haujaisha kuhusu hili la ubebaji watu kutoka kila kona ili wajaze mikutano ya CCM kuwa ni uvunjaji wa sheria kwani kubeba watu ndani ya Malori si sheria kwani wao...
Mwalimu Nyerere na mbwa yule wa Manzese!
Maggid Mjengwa
Oktoba 13, 2010
KESHO ni Siku ya Mwalimu. Huu ni wakati wa kuyakumbuka yale mema aliyoyafanya Mwalimu kwa nchi yetu. Mchango wake kwa...
Wadau nilikua nasikiliza wimbo wa msanii wa kizazi kipya Joseph Haule maarufu kama Prof. J wa "Ndio Mzee" na ndipo nikaanza kukumbuka ahadi za Jakaya kikwete moja baada ya nyingi kwa zote zaidi ya...
MOSHI MJINI
Chadema`s Union presidential candidate, Dr Willibrod Slaa, addresses a campaign rally at Mashujaa grounds in Moshi yesterday.
Mgombea ubunge wa Jimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.