Jambo JF Members
Leo hii nilifanikiwa kukutana na Mzee mmoja wa CHADEMA huku Moshi tukwa na mazzungumzo ya hapa na pale. Mojawapo ya mambo tuliyoongea ni kuhusu Mama Anna Kilango. Alidokeza tu...
Na tuweni wakweli? Katika wagombea URAIS bila kuangalia chama..ukiambiwa pigia kura "UADILIFU, HAKI na UZALENDO nani anastahili? Jibu lako nani apewe uongozi wa nchi?
Mtanzania yeyote Mzalendo...
Kuna wakati ilisemakana kuwa JK ni mpenda michezo na akatuletea mpaka kocha toka Brazil. Sasa mbona maendeleo ya michezo kipindi chake hatujayaona. Angalia medal table, jirani zetu wote wana...
jumamosi tarehe 09 oktoba 2010 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na ambaye pia ndiye mgombea urais wa ccm mhe jakaya kikwete alikuwa mgeni rasmi katika mechi a mpira wa miguu kati ya...
Hivi karibuni vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kuhusu matokeo ya maoni ya wananchi kuhusu uchaguzi wa October 2010. Matokeo ya utafiti yaliyotolewa na REDEt na Synovate yalimpa ushindi mkubwa...
Tarehe 12 Oktoba 2010. Saa tano asubuhi.
Niko kwenye taxi na babu ninayefanya naye kazi ofisi moja. Babu amekaa kiti cha mbele.
Mtaa wa Lumumba. Tunaelekea zetu Upanga. Kulia kwetu...
Ndugu mfanyakazi,
Baada ya taasisi mbalimbali kutoa matokeo yake,
ni nafasi ya wafanyakazi na sisi kushiriki katika utafiti huu ambao ni jukwaa la wafanyakazi kutoa maoni yao
Tafadhali...
Kawaangalie wenye uongozi madhubuti wanavyo waokoa wenzao kwenye mgodi, si nyie mnao ahidi kununua meli iliyozama tangu 1977. mlipokuwa madarakani mbona hamkununua?, mnapoona mambo yanawaendea...
Kwa maoni yangu nafikiri ni vyema viongozi wetu wakuu km raisi na waziri mkuu, wakistaafu wapewe stahili zao ambazo ni sawa kama watumishi wengine wa umma. Taifa lisienndelee kubeba mizigo ya...
Jamani naomba kuuliza, hivi kampeni za mama Salma na Ridhiwani za kumsaidia mzee kurudi mjengoni bado zipo?? Nimejaribu kufuatilia lakini toka Riz1 apewe uchief basi tena sijamsikia kwenye news...
Kuna tunayoshabihiana na kutofautiana kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa Korea (Korea Kaskazini). Hebu yataje machache unayofahamu............
Jana jioni nilibahatika kukutana na Rafiki yangu wa karibu ambaye ni kada wa siku nyingi wa CCM na pia ni askari jeshi mstaafu aliyepigana vita vya kagera akiwa Brigedi ya Mayunga a.k.a mti mkavu...
Leo(23/09/2010) katika taarifa ya habari ya saa 2 kamili wamezidi kuonesha kupendelea upande mmoja kwa kuonesha taarifa za CCM NA CCMB(CUF) kwa kina
Reporter we CCM wanareport na sera za chama...
Nimepata tetesi kwamba kuna majimbo ya uchaguzi nchini ambayo kwa awamu mbali mbali toka uhuru hayana historia ya kupitisha wagombea kwa zaidi ya awamu moja, yeyote mwenye takwimu ama historia ya...
Katika hali isiyo ya kawaida, Meneja wa kampeni za JK abdulraman Kinana sasa imethibitika ya kuwa ni mzigo mzito katika kampeni ya kuokoa JK kufutwa kazi na waajiri wake ambao ni wapigakura:-...
Greetings!
As elections approach, the campaign trail gets even more interesting. Thanks to JamiiForums, the online experience have been thought-provoking. While others resort to smear campaign...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.