chama cha mapinduzi ni chama amabacho kimejipanga vizuri kuweza kuhakikisha kinapata ushindi wa kishindo, kwani ndio chama chenye Sura nzuri ukilinganisha na cha ma kingine chochote...
From the Mouth of the Horse . . . . .
JK and CCM have managed to steer this country towards peace, harmony and prosperity. Vote CCM, Vote JK!
The opposition folks in this country are full of...
Watanzania tumeshuhudia mbinu chafu za kila namna za kuharibu uwezo wa watanzania kutathmini na kufanya uamuzi sahihi juu ya kiongozi anayefaa kuongoza taifa hili ifikapo October 31.
Wametumia...
Dr. Slaa,
Majuzi ulilazimika kusimama kwenye kampeni ukatufungulia maisha yako na mahusiano yao na mchumba wako Bi. Josephina.
Hii ilikuwa ni nia wako kuweka sawa kile ambacho CCM wameanza...
Je, Habari Leo wamegundua kuwa wanampa umaarufu Dr Slaa kwa kumwandika vibaya?? Maana ukifungua gazeti lao kwenye website yao, kwenye habari zaidi, zile heading zilizokuwa zinamchafua Dr Slaa...
Kwa jinsi hali ya upepo inavyoelekea kuna dalili CCM maji yako kidevuni sasa! Chadama na mgombea wake Dr. Slaa wanaonyesha wamekubalika kwa kiasi kikubwa. Hadi sasa inaonyesha kuna mtaji wa...
Hivi karibuni CCM wameanzisha kampeni 'chafu' kwa kuingilia maisha binafsi ya ndoa ya mgombea urais wa CHADEMA, Dr. Slaa.
Hivi kama kigezo ni hiko huyu JK alistahili hata kuwa waziri?
CCM Ondoeni...
MWANANCHI: CHADEMA YAMSHTAKI JK KWA WANANCHI
TANZANIA DAIMA: MKE WA Dr. SLAA AFUNGWA ''KUFULI''
TAZAMA: SLAA ADAIWA BILIONI MOJA
RAIA MWEMA: UNYUMBA WA DK SLAA WALIPUA SIRI NZITO
JAMBOLEO: DK...
Kampeni chafu imeanzishwa na chama cha mafisadi kuhakikisha kuwa Chadema na wagombea wake hawashidi katika uchaguzi wa mwaka huu. Kampeni hii imeanza baada ya kuona kuwa upepo unawaendea vibaya...
jana tume ya uchaguzi imetupilia mbali ombi la wakristu la kubadili siku ya kupiga kura (31 oct) kwani ni siku ya ibada.
Ivi kweli ingekua ni siku ya Ijumaa na waislam wangeomba ibadilishwe, ombi...
DAWA YA KUDUMU MIGOMO VYUO VIKUU YATANGAZWA
Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010, Kupitia ilani za vyama vya upinzani pekee yaani CHADEMA na CUF elimu itakuwa bure na kwa hali hii kwa sababu migomo...
Tanzania ni chi ambayo inaongozwa na rais mtendaji yaani mkuu wa nchi na mkuu wa serikali. katika kipindi hiki cha uchaguzi rais wetu ambaye ni mkuu wa nchi antumia rasilimali za serikali katika...
Siaza za "Maji taka" zilizoanzishwa na CCM zimemuweka Dr. Slaa kivutio katika magazeti mengi nchini kwa takribani siku kadhaa na kuzika taarifa nyingi za mpinzani wake JK.
Wadau hiyo ina...
Jana nilikuwa naangalia kipindi kimoja katika kituo cha Televisheni cha TBC1 kiitwacho MCHAKATO MAJIMBONI, na jana walikuwa jimbo la Arusha mjini, niliwaona wagombea wote wa ubunge jimbo lile...
mwanazuoni jenerali anatuambia:
"Tunachagua kama vipofu, kisha tunalalama kama vichaa. Sasa tuamue: ama tuchague viongozi wetu kwa makini, au tukae kimya wakati wakitunyanyasa. Wachagua hovyo...
Wana-JF:
Nimeona ni vyema niwawekeeni hii sehemu ya mwisho ya stori katika Mwanahalisi la leo kuhusu sakata la Dr Slaa, Mahimbo, na Josephine. Ningekuwa na muda ningeweza kui-key in yote, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.