Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Chadema wamepigwa chini na Mkulu 'Tutendee' kwenye juhudi zao za kumuwekea pingamizi JK asigombee Uraisi. 'Tutendee' amewaambia kuwa kama hawaridhiki na maamuzi yake wanaweza kwenda mbele. Chadema...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwanini hili Tanzania Daima nao wanachelewesha taarifa mtandaoni? Tanzania Daima - Sauti ya Watu Bado kuna gazeti la jumatatu, 6 septemba 2010 Au ndo wanasubiri wauze kwanza? Sisi wengine tuko...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Awali yote napend kuwaslimia ndugu zangu wa Jamii Forum,Leo napenda kuzungimzia pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea urais wa CCM kuhusu kukiuka mkataba wa Sheria ya gharama za Uchaguzi ya mwaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu watanzania tukiwa tunaelekea uchaguzi mkuu ni vema tukatumia nafasi hii kuwachambua wagombea wetu ili kuangalia uwezo wao wa kiutendaji na sio uwezo wao wa kisanii. Kama picha zinavyoonyesha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika utetezi wake CHADEMA ilisema malalamiko yamewasilishwa nje ya muda na pia CHADEMA iliwasilisha maelezo na vielelezo kuthibitishwa kilichozungumzwa jangwani ikiwemo ilani, orodha ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu niliwahi kuisoma hii story ya the self-proclaimed Lebron's father sometimes ago. Well baada ya kusikia hii habari ya case ya Mahimbo Vs (Josephine na Dr. Slaa) Nimeona ni vema kushare...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nilifurahi sana na nikashukuru moto uliowashwa na CHADEMA ambao ulipelekea Mkuu wa nchi kutangaza nyongeza ya mshahara ha kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuona secular iliyoonyesha mshahara mpya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Na Exuper Kachenje CHAMA cha Mapinduzi(CCM), kimebadili ratiba za kampeni kwa mgombea wake wa urais, Jakaya Kikwete na sasa atafanya kampeni bila kupumzika tofauti na awali alipopangiwa siku za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
8th September 2010 Wasema wanakwenda kwa umma Mume wa Josephine aenda kortini Mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA, Dk. Willibroad...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tayari yamesha divert attention kutoka kwenye madhambi yao ya ufisadi na kushindwa kuongoza na sasa tupo hapa tunamzungumzia Josephine na "kuibwa" kwake NA Dkt. Slaa. Nimekoma nayo haya majamaa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Najua kuwa JF ni jukwaa la watanzania wa kada mbalimbali. Kwenye home page kuna kura ya maoni inayohoji ni nani anayekubalika zaidi kuwa raisi. Majibu yake wote tumeyaona. Lakini tunajua kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wengi watakubaliana na mimi kuwa biashara ya mavazi ni moja kati ya biashara isiyopitwa na wakatati, ni kama vile ilivyo biashara ya vyakula, kwani mtu atahitaji kula na kuvaa kila siku...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapinzani wamekuwa wakilalamika kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana mchini unatokana na elimu duni.Je ni kweli tatizo ni elimu duni,ongezeko la watu au uchache wa ajira tatizo ambalo ni la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
On salary increment, Mr Marando said Mr Kikwete told a rally on 22nd August, (according to the media), that he had increased the minimum wage from 135,000/- to 235,000/-, was a lie because...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wadau nimetembelea blogu ya Zitto Kabwe na kufurahishwa na jinsi Kampeni zake zinavyoendelea kule Jimboni kwao. Haya ndo mambo ambayo CHADEMA nzima walipaswa kuyafanya. Jambo ambalo inambidi Zitto...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Tuko Live sasa. . . . . Lema wa CHADEMA anaongea . . .
0 Reactions
76 Replies
4K Views
Ni mara ngapi tumechagua wasaii kuwa viongozi wetu? Angalia hizo attachement uone kiongozi anatakiwa aweje na msanii utamtambua. FANYA MAAMUZI SAHIHI WAKATI NDIO HUU.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetupilia mbali pingamizi alilowekewa mgombea ubunge wa jimbo la Karagwe kupitia Chadema, Deusdedith Kahangwa. Kwa mujibu wa barua ambayo gazeti hili limeona...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wajameni, habari za leo tena. Kuna tetesi kuwa yule mgombea wa chadema aliyeenguliwa Karagwe NEC imemrudishia hadhi ya kugombea. Kama ni kweli tujiulize "wasimamizi wa uchaguzi majimboni ni wala...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SERIKALI inatarajia kuanza kutumia njia ya reli kwa ajili ya kusafirisha abiria kwa mkoa wa Dar es Salaam ili kuondokana na adha ya foleni ambayo inazidi kila kukicha. Kauli hiyo ilitolewa jana...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Back
Top Bottom