Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Malecela-CCM isihusishwe na ufisadi Na Waandishi wetu 30th August 2010 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Miaka michache ya hivi karibuni tumekuwa tukisikia ama kuona katika vyombo vya habari kuhusu watu wa huko U.K. kuendelea kufungua utitiri wa matawi ya C.C.M. Mbona hatuna hayo matawi huku USA...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Kulingana na makubaliano yaliyofikiwa baina ya tume ya uchaguzi(NEC) na vyama vya siasa ikiwemo kutunga sheria mpya juu ya matumizi ya fedha pamoja na taratibu zingine za kuendesha uchaguzi. Mimi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF, nimeanza kuwasiliana na baadhi ya maadvocate kuona ni kwa vipi tunaweza kumwekea pingamizi Kikwete asigombee Urais kutokana na sababu zifuatazo: Sababu ya kwanza Inatokana na afya...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu" Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St...
0 Reactions
94 Replies
9K Views
People are divided into three main groups depending on the mind set.. 1. Lower mind - (Discuss other people) Group hili wao ni kujadili mambo binafsi ya watu.. Ambayo ki u halisia hayana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
He accuses the Tanzanian government of corruption. From the lowest ranked member of Police force in Moshi to the highest officer, from a local magistrate to Chief Justice, from a DC to the...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Serikali imeamua kwa makusudi kukandamiza haki za wananchi walioiweka madarakani, imeamua kuwapora haki zao, maisha yetu yapo mikononi mwa nani? Mwizi wa kuku yupo Segerea anatumikia kifungo cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hatuko mwanzo,wala hatuko mwisho,inawezekana tuko mwanzo wa mwisho.Hapa nazungumzia safari ya taifa hili la Tanzania kuelekea kwenye ukweli,kuelekea kwenye mwanga.Ukiona giza totolo limetanda kila...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Makala hii ilichapwa kwa mara ya kwanza kwenye gazeti huru la Dira Zanzibar, Na. 45, la Oktoba 10-16, 2003. Nimeamua kuileta tena hapa ukumbini baada ya kuiona hii video ilowekwa jana kuhusiana na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
In the same way that a baby is branded an angel, and goes unpunished for mistakes the creature makes, due to newness in the world into which he or she has been thrust, crazy behaviour and...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Pingamizi ndio kama tulivyotarajia,Tendwa katekeleza maagizo aliyopewa Ikulu na JK.Sasa kila dakika ni mithili ya muujiza usiojirudia. Tumeshanyanyaswa vya kutosha, utawala wa sheria umeshachezewa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Vunjo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema, amenusurika kupata kipigo kutoka kwa kundi la vijana wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hoja za maisha binafsi ambazo ni dhahiri zimepikwa na CCM, Makamba ndio alianzisha, akafuatwa na makada wengine, zitaijenga Chadema na mgombea wake wa urais. Kwa nini hizi hoja zitajenga badala ya...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa walio Jijini Dar es salaam, Msajili wa vyama vya siasa Ndg, J. Tendwa alitegemewa kuzungumza na vyombo vya Habari leo kutoa maamuzi juu ya Pingamizi la CHADEMA dhidi ya JK wa CCM, je maamuzi...
0 Reactions
196 Replies
16K Views
Tendwa aionya CCM kuacha kutumia nyenzo za Ikulu BARAZA la Ushauri wa Vyama vya Siasa nchini, limekishukia CCM na kukitaka kutotumia picha zilizopigwa Ikulu katika kampeni zake.Onyo hilo...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ukitaka kutuma pesa nchi nyingine kupitia western union Tanzania imekuwa vigumu mno.Wanataka uwe na passport sijui na viza za huyo unayemtumia na vikolokolo vingine kutegemea wanavyojua wenyewe na...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
  • Closed
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa, amesema kuwa vigogo wa CCM hawana ubavu wa kumnyooshea kidole kuhusu maisha yake binafsi. Akihutubia wananchi katika mji wa Babati...
0 Reactions
607 Replies
63K Views
Kuna kitu kimoja kimenifurahisha sana kwenye kampeni za uchaguzi wa congress wa marekani mwaka huu. Kuna mgombea mmoja wa senate toka jimbo la Nevada anaitwa Sharon Angle. Mrs Angle bana alikuwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau kuna tetesi kuwa CHADEMA wameshinda rufaa dhidi ya MO huko singida mjini, mwenye taarifa tafadhali....
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom