Narudi tena kwa huyu mgombea ubunge wa Muhambwe, Jamal Tamim!
Ametajwa huko nyuma kuwa elimu yake ni ya darasa la saba.
Lakini ametajwa pia kuwa alitumia pesa sana kununua kura za maoni...
wabunge wengi wa ccm wapo tayari kufanya lolote ili wapate kurudi bungeni.....uchunguzi wa kina unaonyesha wananchi wamechoshwa na wanaitaji mabadiliko..
Uendeshaji wa Serikali - Chadema imefanikiwa kunishawishi kuwa ukubwa wa serikali iliyopo ni tatizo kubwa la kuendesha nchi hii. Serikali ni kubwa mno na CCM wala CUF hawalizungumziii suala hili...
Kwa uchunguzi wa kina inaonekana wananchi hawana hamu na wagombea ubunge wa ccm,kwani wengi wao wanonekana kujali maslai yao,kitu ambacho wananchi hawana huwakika nacho ni mgombea uraisi,kikweke...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete ameshangazwa na Wapinzani kwa kushindwa kuishukuru serikali ya CCM hata kwa jinsi ilivyowasomesha na badala yake wamekuwa...
Ndugu wana JF, Tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia jinsi kituo cha TV cha TBC kinavyokandamiza upinzani, hasa chama kilichojidhihirisha kuwa ni tishio kwa chama tawala mwaka huu,kwa kuwalimit...
Mheshimiwa Makamba, uliwahi kufukuzwa kazi ukiwa kama mkuu wa wilaya, uliondolewa si kwa utendaji wako mbaya wa kazi bali wakuu wengi wa idara wilayani kwako walikuangusha. Ukiachilia mbali siasa...
Leo nimejikuta nacheka sanaaa.. Mwenyekiti wa Kampeni ya Urais ya Kikwete Bw. Kinana akihojiwa mapema leo asubuhi na ITV amevisihi vyama vingine visiwaeleze sana mambo mabaya na yenye kubebesha...
ktk uchaguzi wa usa uliopita kulikuwa na ushindani mkubwa kati ya chama cha democratic na republican,wagombea wao walikuwa obama na mzee macain,dakika za mwisho za kampeni kada mtiifu wa...
Umati Mkubwa ulijitokeza kumlaki Dk. Slaa katika eneo la Haydom, jimboni Mbulu
Dk Slaa anamtambulisha mgombea ubunge wa Hanang, Rose Kamili, katika eneo la Endosak, jirani na nyumbani kwa Waziri...
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa kuiagiza Chadema kuisoma na kuielewa vizuri Sheria ya Gharama za Uchaguzi na sheria nyingine za uchaguzi ili kuepuka usumbufu.
Ombi...
Nimeshtushwa sana na baadhi ya watu nadhani ni mashabiki wa CCM ambao wamekuwa wanasema viongozi wa chadema wanaelimu ndogo. Naomba kuuliza kutoka kwa mashabiki hao wenye shahada the so called...
Bado naikumbuka ccm ya Mwl. Nyerere; wakati ule chama kilikuwa na maadili na miiko ya uongozi. Chama hakikuwa sahihi 100% lakini angalau kilikuwa kikimjali kila mtanzania. Wengi tulitegemea ccm...
Kwa mtazamo wa haraka haraka katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, nimeshuhudia wanasiasa wengi wakishidwa kutimiza ahadi walizotupa hapo mwanzo. Na sasa wanarudi tena katika majukwaa ya...
Dear JF Members,
I know some of you, have much expectation in this year general election... e.g. expecting president coming from opposition camp or even thinking of better composition of...
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu zoezi la kampeni na mbwembwe zote za wanasiasa.Mwaka huu inaonesha wapinzani kweli wamepiga hatua tofauti na huko nyuma.Swali langu kwa wana JF na wote...
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wao 80% ya muda wa kampeni wanapiga miziki
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatumia muda mwingi kukejeri wapinzani(tutawachana)
Kama ni kuelezea sera mbona CCM...
Gazeti la habari Leo limekuwa kama la Udaku kwa kuweka vichwa vya habari vinavyojaribu kumchafua Dr Slaa lakini nadhani nao wanataka kukataliwa na kuonekana Vipeperushi kama RAI, Mtanzania, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.