Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Habari za kuvunjika vunjika zilizoifikia JIACHIE mapema leo (jana) asubuhi zinaeleza kuwa mmoja wa Wasanii wa muziki wa kizazi kipya,Fred Marik a.k.a Mkoloni (kulia) ambaye pia ni Mwanachama wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dah,nimetoka mkutano wa ccm na bilal alikuwepo. Iringa wamechoka ccm na hawaoni aibu kusema hadharani kwenye mikutano. Hii ya leo AIBU, mama mbega lazma anataka kujiuzulu ni noma but encouraging.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi najiuliza kama kweli Upinzani ukishinda je CCM watakuwa tayari kuachia madaraka??Au ndo kutumbukiza nchi katika vurugu je Upinzani unaweza kuongoza nchi??Je Kwa nini unadhani Jakaya Kikwete...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
• Kisa, mitihani ya darasa la saba na Mwandishi wetu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani zinatarajiwa kusitishwa kwa siku mbili ili kupisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Source: Michuzi Blog Mkazi wa Matombo, Morogoro vijijnini Mashariki, akiinadi CCM My take: CCM ni Chama ambacho kila wanachama wa kada mbalimbali bila kujali dini, kabila, rangi wala...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Yes: Nchi yenye zaidi ya miaka 45, imeshindwa kutoa quality presidentt material... hii inathibitika kwenye kampeni za siasa zailizo sasa. Tumeshindwa kubaki na sera, na ubora, sasa tupo kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Do we actually believe questioning ‘Mwalimu’ is showing a lack of respect? It appears so to us Tanzanians especially here in JF, no wonder we are in this state of ‘dire poverty’, and lack of...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
WanaJF inabidi tukae tayari tujiandae nchi hii haitakuwa salama siku za mbeleni Taasisi za kidini enzi za mwalimu zimekuwa kimya zikifanya mambo yake lakini baada ya kuingia utawala wa JK mambo...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Mwaka 2005 alikuja na kauli mbiu tamu sana, eti maisha bora kwa kila mtanzania. Nimeona sehemu nyingi, picha nyingi pamoja na maelezo ya watu wengi kuwa mambo sia kama walivyotaka iwe. Mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pasipo kutarajia,CCM inaweza kulazimika kuuambia umma kwanini mafisadi waliotajwa kwenye List Of Shame (orodha ya mafisadi sugu iliyowekwa wazi na Chadema viwanja vya Mwembeyanga) hawajachukuliwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
MAALUM KWA WAKAZI WOTE WENYE KUMILIKI ARDHI NA NYUMBA PEMBEZONI MWA JIJI LA DAR ES SALAM NA MJIJI YOTE MIKUBWA. Eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam zamani lilikuwa na Vijiji vya Ujamaa 52...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Akinukuliwa na Clouds FM radio na Channel 10 naye amesema: CHADEMA Hawajatumia lugha ya kistaarabu kwa mgombea wao Adai hawawezi kukaa kimya Mwenyekiti wao na Rais akitukanwa Adai wote...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa kampeni ya mgombea urais wa CCM, Abdulrahman Kinana juzi alisema kwamba wapinzani hawana jipya. Alitoa kauli hiyo wakati akimnadi kwa wananchi wa Arusha mgombea ubunge wa tiketi...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Hivi mwaka 2005 Kikwete alipoahidi maisha bora kwa kila Mtanzania, kati yetu humu kuna aliyemwamini kweli au niko peke yangu tu ambaye sikuamini hayo?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
  • Closed
Dk. Slaa awindwa • Mikakati ya kumchafua yashika kasi na Asha Bani MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hivi sasa ndiye anayeonekana kuwindwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nimepata hii habari kutoka kwa blog ya Michuzi. Hivi huyu Lyatonga ameugua ugonjwa gani au ni kweli kuwa alipandikiza ili aue upinzani? Mwenyekiti wa TLP Mh. Augustine Lyatonga Mrema...
0 Reactions
86 Replies
8K Views
Leo nimesoma makala ya Privatus Karugendo nikaipenda sana na anachokizungumzia kina ni cha msingi sana. Kikwete Tunajua amekuwa akianguka mara kwa mara ambapo tunapata mashaka na afya yake. Huyu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana-JF, Gazeti la Mwanahalisi la leo ni moto wa kuotea mbali. Ndani ya stori yao kuu ya leo kuna habari kuhusu yale aliyoyatamka Marando katika Viwanja vya Jangwani siku ya Jumamosi hadi TBC...
0 Reactions
64 Replies
8K Views
Naona mpaka Judge Mkuu kaingia mkenge akizani video wanayo TBC peke yake. Sasa kwenye hii vieo kuna matusi gani jamani Wewe Tido Mhando ebu angalia? Makamba tuambie ni kipande ipi hapo ni matusi?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kijichi Ward Chairman Jackson Gabriel (CCM) this week led a group of over 200 CCM members to allegedly defect to Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) when Chadema was launching...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom