Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tayari CCM imeshayakamua makampuni mbalimbali yaliyopo tanzania. Mpaka sasa imekusanya tzs bilioni 40, lengo ni bilioni 50(milioni 50,000.00). Kisa... Kampeni! ...kwangu hiki ni kielelezo cha...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
It's election time again, two thousand and ten It's treason season again, democracy bargained Conspiracy charging, voters chagrin Mandarins and pretenders babbling margin while margarining The...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Lusinde ashitushwa wagombea udiwani kulipa Sh1m Friday, 20 August 2010 08:55 Habel Chidawali, Dodoma Mwananchi BALOZI mstaafu Job Lusinde amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bandugu, Ningependa kuburudika na lile tangazo la redioni la 'Mdudu Rushwa'! Pana mdau hapa anayo nakala yake pepe? Wadaku bin wadakuzi wa mambo wanadai tangazo lile lilipigwa marufuku kwamba ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
This year’s election race is officially on, any updates/pictures please.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu, kwenye post inayopatikana hapa mwenzetu zyansiku ametoa mantiki ya ujio wa bashe huko nzega akidai ametumwa na mungu pale aliposema: ...nyuma ya bashe yupo mungu maana watu wa nzega...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Nikilinganisha kwa muonekano wa picha za mikutano kati ya CCM na CHADEMA naona kuna kundi kubwa la wapiga kura nalikosa kwenye picha za CHADEMA, si waongeaji sana lakini ndio huamua nani awe...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Sasa sijui kama hii ni siasa au vipi lakini bado akili yangu imeshindwa kuunganisha ninachokiona na tafsiri yake kwenye ubongo wangu. Naomba mnisaidie:
0 Reactions
51 Replies
6K Views
• Yafuja mamilioni kwa chakula cha jioni * Watafiti bado waitilia shaka kwa rushwa Na Edward Kinabo - Tanzania Daima WAKATI baadhi ya wadadisi wa mambo wakihoji faida gani taifa lilipata...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau, kwa taarifa tu, leo asubuhi kutokana na udhuru nyumbani nilichelewa kwenda kazini hadi saa 6 hivi mchana. Nilipotoka nikakumbuka magazeti, nikasema nitanunua Kariakoo. Nilishangaa sana...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi hawa jamaa wanaweza kukaa pamoja hivi? Siasa za BONGO sina hamu? Jazia maneno kwenye mazungumzo haya
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kila kitu Kina mwanzo na mwisho wake, kama Msosi unakula kisha unaisha, shibe huisha, watu hufa na duia huendelea mbele wala hairudi nyuma,, nasema hivyo Kwa sababu zifuatazo... Maendeleo yeyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama inavyofahamika kwa wengi, Ndugu Hussein Bashe ni kijana wa karibu sana na Rostam Aziz yeye ndio msimamizi wa miradi mikubwa pale Caspian na kwingineko kwa niaba ya RA, izingatiwe pia RA ndiye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, wasambazie watangazaji wa redio zote hii taarifa ili wahudhurie na kuweza kuwa fair wakati wa uchaguzi. Form ya Usajili Tangazo la Workshop yenyewe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Taifa, Rais Jakaya Kikwete amesema hana tatizo na wanachama wa chama hicho wanaohamia vyama vingine,lakini wasijaribu kukihujumu. Kikwete amesisitiza...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf niinajaribu kufikiri suala la katiba ya ichi yetu, nimeshindwa kuelewa vema. Rais anavunja cabinet wakati gani, lini? swali msingi sana kwanini bunge livunjwe afu cabinet ibaki na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kashibdwa kukuza michezo.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jitahidini mle hivyo hivyo, ili mkue, watapita na matarumbeta kuwaomba kura zao Mama endelea kutuchagua, tutawajengea barabara za juu na chini. Tuchagueni tutawajengea makazi na ofisi bora...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom