Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimemsikia m/kiti wa chama chetu mafisadi akiwa usia wajumbe wa nyumba kumi kupiga kampeni kwa nguvu zote ili CHAMA kishinde uchaguzi wa 31 Oct. Hivi dhana hii ya chagua CHAMA badala ya mgombea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna wengi wamesema kwamba kule vijijini watu hawaelewi,wao ni kulewa mapilau,na kutotumia kura zao ipasavyo.kwa nini wenye kutaka maendeleo ya hii nchi,wasitengenze documentaries,au movies to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABEID KARUME HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABEID KARUME SALAMU ZA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, MHESHIMIWA DK...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimesikia mara kwa mara tena kwa lugha ya dharau ya aina fulani kuwa "Watanzania hawaju" na kuwa "Huko kijijini watu hawaelewi" na wengine wamefikia mahali pa kudai kuwa "wananchi hawana elimu ya...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Joseph Mbilinyi, Mr. Sugu, maarufu kwa jina hilo, ukipenda Mr.II. Ameshinda katika kura za maoni yaliyofanyika Mbeya Mjini za CHADEMA za kumtafuta Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Barabara mbovu, maji ya shida maisha magumu. Foleni inaanzia Moroko hadi Mwenge, eneo ambalo kata yake ipo. Barabara mbadala zipo, haziwekwi lami wala kukwanguliwa. Zuzumagic huyo tumemchoka na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF, Kwa makini nimekuwa na tafakari ya matokeo ya (Kura ya amoni) referendum Zanzibar na kupata maswali mengi yasiyo kuwa na majibu. Kwa matokeo haya; naamini yataleta mgongano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waheshimiwa wana wa nchi! nilipoandika jina langu Diwani maana yangu ilikuwa ni maandalizi ya kugombea udiwani katika kata moja iliyopo mkoani Tabora na sasa nimetoka kukagua vituo vyote naona...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kati ya taarifa zilizonivutia ni hii hapa ya mwenyekiti wa serikali za mitaa mbagala alipokuta jina lake na watu zaidi ya 50 awapo na kusimamisha uchaguzi ,..si yeye bali niwatu waliokuwa majina...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Awali ya yote napenda kuzipongeza serikali zote mbili za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Rais J.M.Kikwete na DR Karume kwa maamuuzi yao yaliyoshehena hekima na busara kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Leo (02/08/2010) umechukua fomu ya kugombea Urais mwaka huu. Ni nini hasa unataka kuifanyia nchi yetu ambacho umeshindwa kukifanya toka Mwaka 2006? 2. Katika zile fedha za EPA, je kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani kwa wale ambao mko maofisini na barabarani maeneo ya city centre....along Ohio str...usumbufu mnaoupata sasa na kele za mafisadi wakijani ni JK anaelekea kuchukua form. Kwani si wangemtumia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Zoezi la upigaji kura za maoni Zanzibar limeanza asubuhi hii kwa utulivu na amani hali inayotafsiriwa kama kiashiria cha Uchaguzi huru na wa haki mwezi October. Niko hapa visiwa vya marashi ya...
0 Reactions
110 Replies
10K Views
Hamjambo Watu Wenu, Nilisoma makala inayosoma Rais Obama atawaona mia moja kumi na tano viongozi watoka arobaini na sita nchi za Afrika kusini za Sahara. Watazungumza juu ya uwezo wa kuona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kura za maoni kupata wagombea wa viti vya udiwani na ubunge kupitia tiketi ya ccm nchi nzima limegubikwa na matukio ya kustaajabisha ya uchawi, rushwa ya waziwazi ila kilichotia fora zaidi ni hali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wale walio karibu na Kawe Jamani au kama mna waandishi wa habri kuna picha ya bure hapa wanakaya wa kata ya Kawe wanachapaa makofi live karibu na shell ya KOBIL. Ni moto, sakata halisi lilikuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Technically speaking, at last tumeujua ukweli wa mambo wa siasa za ZANZIBAR....kumbe CUF huwa wanashinda kwa zaidi ya asilimia 60 katika chaguzi za Zanzibar..kura ya maoni ime-reveal hii...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SIKU moja baada ya Takukuru mkoani Tabora kumnasa Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia na Watoto Margaret Simwanza Sitta, jana aliibuka na kusema taasisi hiyo inawabambikia wananchi makosa ili...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Back
Top Bottom