Nimemsikia m/kiti wa chama chetu mafisadi akiwa usia wajumbe wa nyumba kumi kupiga kampeni kwa nguvu zote ili CHAMA kishinde uchaguzi wa 31 Oct.
Hivi dhana hii ya chagua CHAMA badala ya mgombea...
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni...
Kuna wengi wamesema kwamba kule vijijini watu hawaelewi,wao ni kulewa mapilau,na kutotumia kura zao ipasavyo.kwa nini wenye kutaka maendeleo ya hii nchi,wasitengenze documentaries,au movies to...
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABEID KARUME
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABEID KARUME
SALAMU ZA RAIS WA ZANZIBAR NA
MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI,
MHESHIMIWA DK...
Nimesikia mara kwa mara tena kwa lugha ya dharau ya aina fulani kuwa "Watanzania hawaju" na kuwa "Huko kijijini watu hawaelewi" na wengine wamefikia mahali pa kudai kuwa "wananchi hawana elimu ya...
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425...
Joseph Mbilinyi, Mr. Sugu, maarufu kwa jina hilo, ukipenda Mr.II. Ameshinda katika kura za maoni yaliyofanyika Mbeya Mjini za CHADEMA za kumtafuta Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA...
Barabara mbovu, maji ya shida maisha magumu.
Foleni inaanzia Moroko hadi Mwenge, eneo ambalo kata yake ipo.
Barabara mbadala zipo, haziwekwi lami wala kukwanguliwa.
Zuzumagic huyo tumemchoka na...
Ndugu zangu wana JF,
Kwa makini nimekuwa na tafakari ya matokeo ya (Kura ya amoni) referendum Zanzibar na kupata maswali mengi yasiyo kuwa na majibu. Kwa matokeo haya; naamini yataleta mgongano...
Waheshimiwa wana wa nchi! nilipoandika jina langu Diwani maana yangu ilikuwa ni maandalizi ya kugombea udiwani katika kata moja iliyopo mkoani Tabora na sasa nimetoka kukagua vituo vyote naona...
Kati ya taarifa zilizonivutia ni hii hapa ya mwenyekiti wa serikali za mitaa mbagala alipokuta jina lake na watu zaidi ya 50 awapo na kusimamisha uchaguzi ,..si yeye bali niwatu waliokuwa majina...
Awali ya yote napenda kuzipongeza serikali zote mbili za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Rais J.M.Kikwete na DR Karume kwa maamuuzi yao yaliyoshehena hekima na busara kwa...
1. Leo (02/08/2010) umechukua fomu ya kugombea Urais mwaka huu. Ni nini hasa unataka kuifanyia nchi yetu ambacho umeshindwa kukifanya toka Mwaka 2006?
2. Katika zile fedha za EPA, je kampuni ya...
Jamani kwa wale ambao mko maofisini na barabarani maeneo ya city centre....along Ohio str...usumbufu mnaoupata sasa na kele za mafisadi wakijani ni JK anaelekea kuchukua form. Kwani si wangemtumia...
Zoezi la upigaji kura za maoni Zanzibar limeanza asubuhi hii kwa utulivu na amani hali inayotafsiriwa kama kiashiria cha Uchaguzi huru na wa haki mwezi October.
Niko hapa visiwa vya marashi ya...
Hamjambo Watu Wenu,
Nilisoma makala inayosoma Rais Obama atawaona mia moja kumi na tano viongozi watoka arobaini na sita nchi za Afrika kusini za Sahara. Watazungumza juu ya uwezo wa kuona...
kura za maoni kupata wagombea wa viti vya udiwani na ubunge kupitia tiketi ya ccm nchi nzima limegubikwa na matukio ya kustaajabisha ya uchawi, rushwa ya waziwazi ila kilichotia fora zaidi ni hali...
Wale walio karibu na Kawe
Jamani au kama mna waandishi wa habri kuna picha ya bure hapa wanakaya wa kata ya Kawe wanachapaa makofi live karibu na shell ya KOBIL.
Ni moto, sakata halisi lilikuwa...
Technically speaking, at last tumeujua ukweli wa mambo wa siasa za ZANZIBAR....kumbe CUF huwa wanashinda kwa zaidi ya asilimia 60 katika chaguzi za Zanzibar..kura ya maoni ime-reveal hii...
SIKU moja baada ya Takukuru mkoani Tabora kumnasa Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia na Watoto Margaret Simwanza Sitta, jana aliibuka na kusema taasisi hiyo inawabambikia wananchi makosa ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.