Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wanabodi, Nijuavyo mimi, kampeni rasmi za Urais na Ubunge, zitaanza rasmi Tarehe 20 mwezi ujao. Katika pita pita yangu huku na kule, nimetua mjini Dodoma na kushuhudia mji mzima wa Dodoma...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mtunzi wa kitabu hiki maridhawa si mwingine bali ni mchambuzi na mwandishi mahiri wa makala,Mwalimu Nkwazi Nkuzi Mhango,Mtanzania mwenye makazi yake nchini Kanada.Licha ya ualimu na uandishi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo tumepata taarifa za kuvamiwa eneo ambalo alikuwa akiishi Said Kubenea wa MwanaHalisi huku waliofanya uvamizi wakiwalazimisha vijana wa eneo hilo kusema alipo Kubenea. Taarifa...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
ningekuwa mimi Kikwete ningejitoa nisigombee urais kwa vile ninayegombea naye naelewa ananizidi kwa kila idara, ni ukweli unaouma.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kweli Kikwete anaipenda Tanzania, anatakiwa amuunge mkono Dr. Slaa.. Hakuna ubishi, Dr. Slaa ni zaidi ukilinganisha na JK.. Sasa kwa sababu kapatikana rais makini, inabidi yeye kama mmoja ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
1. Dr. Willibrod Slaa and Rashid Hamadi [Christian & Islam-Fair State] 2. Jakaya Kikwete and Dr. Mohamed Bilal [Both are Islam-Islamic State]
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mada hii inahusu uhusiano kati ya Sataranji na Siasa. Sataranji ni mchezo ambao hutumia fikra nyingi na mipango mingi tarajali kumshinda mpinzani. Katika mchezo huu, ambao vinara wake walikuwa ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mgombea Urais kipitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kesho ataunguruma Nyumbani kwake Karatu. Dr Slaa anakwenda kukutana na wanakaratu aliowatumikia kwa kipindi cha miaka kumi...
0 Reactions
136 Replies
16K Views
any comments please...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
It is public knowledge that President Jakaya Kikwete has personal friendships with different people from all walks of life. In fact, he likes to portray himself as the people's president -- ever...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
CHADEMA wameteua, Dakta slaa ulingoni, CCM kuwatungua, kuwatoa mjengoni, Uteuzi ulotulia, kama maji mtungini Watani wamepagawa, sasa wanatapatapa Slaa chaguo poa, tutakavyo kutimia, Hakuna wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vikao vya siri vinaonyesha ya kuwa jk amepanga kumchagua slaa kuwa waziri wa nishati na madini iwapo atashinda uchaguzi wake ujao, je na yeye dr slaa akishinda uchaguzi huu ataweza kumchagua jk...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi katiba inasemaje ikiwa Kikwete anabwagwa 2010,je anaweza kugombea tena 2015(kwa sababu ya kuserve one term only?)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika makala ya Mungu aliyemchagua Kikwete anaruhusu 'madudu' haya?, kwenye gazeti la raiamwema la hivi karibuni, deusdedit jovin anatueleza kuhusu mafundisho ya Machiavelli; kwamba, katika hali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
:pound: •Wako wapi wale manabii wawaliotufanyisha kwata kwa muda wa miaka mitatu mfululizo bila mafao yoyote? •Wako wapi wale manabii waliotusadikisha kuwa nchi iko vitani? •Wako wapi wale...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani naombeni huyu mkubwa wa Jiji hili atuambie amefikia wapi na hawa mafisadi wa ardhi wilaya ya kinondoni? mbona kimya tena? pia ajaribu kuangalia na wilaya za TMK na Ilala nako kuna uozo pia
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MGOMBEA wa Ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. John Mnyika amepitishwa na na chama chake kugombea jimbo hilo kwa asilima 100. Bw. Mnyika alipitishwa na wajumbe wa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Sorry wanaJF, Sorry mod naomba mniruhusu nitoe ombi dogo... Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, kwa kuzingatia umuhimu mkubwa wa kuwepo kwa timu imara katika kulinda kura zetu, nawaomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeamua kutumia maneno hayo kwa sababu nina shindwa kupata neno la kutumia badala yake. Si kawaida kuona watu wa namna hii. Mtu huyu si mbinafsi na amejitoa kwa maslahi ya watu wake. Watu wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom