25th July 2010
Waandishi wa habari wawili waliokuwa wakifuatilia mchakato wa kampeni za kura za maoni ili kuwapata wagombea wa udiwani na ubunge wilayani Mbinga kupitia CCM...
Mbunge wa Bukoba Vijijini anayemaliza muda wake, Nazir Karamagi
Kashfa za Richmond na Buzwagi zimeendelea kumtoa jasho Mbunge wa Bukoba Vijijini anayemaliza muda wake, Nazir...
Waheshimiwa nimepata taarifa mda si mrefu kuwa ule umeme wa tanesco umeshindwa kupita kanisani kwa kakobe. Kama kuna mtu anataarifa zozote tunaomba mtujulishe.
Kwa kweli kelele za wana CCM kufisadiwa katika kura za maoni na wana CCM wenzao kuchukuliwe kwa tahadhari kwani wengi wanaolalamika wanajua chama kimezoea kufanya nini ili kupata unaoitwa "ushindi...
Nilifahamu juu ya mazungumzo ya baadhi ya uongozi wa juu wa CCJ na Chadema kwa muda kidogo; Yalitokana vile vile na ushauri wa watu mbalimbali kuwa CCJ iunganishe nguvu na Chadema. Hata hivyo...
Yes,
yeye Malaria Sugu, na pacha wake Tumaini, na binamu yake Kanda2.
Kwa kadri ambavyo mods wanayakubali yale wanayobandika hapa na kuacha yaendelee kukaa kwa miezi na miaka kadhaa (kitu...
WanaJF
Nina mpago wa kurudi nyumbani kabla ya Uchaguzi ili nitoe kura yangu kwa DR Weapon(Slaa) juzi ndo nimesikia kuwa anagombea Urais. Niliposikia habari hii nilishutuka kidogo nikaona Dr...
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeipongeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), kwa kuonyesha utendaji na uwepo wao hasa katika kufuatilia mchakato mzima wa uchaguzi kwa kuanzia...
Na Mwandishi Wetu
Mtangazaji anayekuja kwa kasi kwenye field hiyo Zamaradi Nketema ambaye anapiga mzigo katika Kituo cha Radio Clouds Fm, naye ameamua kwa moyo mmoja kuingia kwenye siasa huku...
Ni mkakati wa CCM kuhakikisha watu hawapati elimu ya uraia hasa viijini,na wanatumia njia hiyo kushinda changuzi mbalimbali.Naomba tutumie njia mbadala kuhakikisha watu wetu walio vijijini...
22nd July 2010
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa, amesema kitendo cha Jeshi la Polisi kukataa kutoa kibali kwa vyama vya siasa vinapoomba...
Tangu wiki iliyopita Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza Mchakato wake wa Kuwapata wagombea wake wa viti vya Udiwani na Ubunge, katika michakato hiyo watoa nia Mbalimbali wamekuwa wakipita katika...
Kishatumbuiza Vick Kamata kisha wakatumbuiza wasanii wa TMK wakiongozwa na Juma Nature, wametinga mavazi ya CCM kwa raha zao.
Sasa anatumbuiza Flora Mbasha, anaimba "Kikwete Kiongozi bora...
CCM ni chama cha Dhuluma, hili lipo wazi.
Tumesikia tayari wagombea wa CCM wameshaanza kumwagiwa mchanga wa macho.
Peter Msola (waziri wa mawasiliano) amefanya ghiliba ili awanie kiti cha Ubunge...
Katibu mkuu wa ccm Yusuph Makamba
SIKU moja baada ya kuripotiwa matukio rushwa katika mchakato kupata wagombea ubunge ndani ya CCM, chama hicho kimesema mgombea yeyote atakayekamatwa na...
Mawaziri na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali ya Rais Amani Abeid Karume wamekumbwa na hofu kufuatia upinzani mkubwa unaowakabili katika kutetea nafasi za ujumbe wa Baraza la Wawakilishi...
Viongozi wa Kiislamu Zanzibar, wamesema wanaunga mkono Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kusisitiza kuwa watabeba jukumu la kuzunguka visiwani na kushawishi wananchi kupiga kura ya ndiyo...
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa, leo hii amefuta rasmi usajili wa muda wa Chama Cha Jamii (CCJ) baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutimiza masharti ya usajili na wengine...
Na Ally Sonda, Moshi
KATIKA hali inayoonekana kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekusudia kumng'oa Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo (Chadema) ifikapo mwaka 2010, kimeamua kuutumia Umoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.